Redio hii ina taarifa, habari, burudani za muziki, vipindi vya salamu na vipindi vingine vingi. Redio hii hurusha matangazo kwa saa nne kwa siku, asubuhi, kisha mchana sita hadi saba na mbili hadi nne usiku (wakati wa habari na salam huu).

Wanaotumiana salam kwa kujirudia rudia na kufuendeleza utamaduni wa salam redioni ni wakongwe: Raymond S Massawe, Mbando S Mbando, Zakaria Ndemfoo, Geofrey Njereka, Exaud John Makyao...

Tovuti ya Radio China Kimataifa inapatikana katika anwani hii : http://swahili.cri.cn
 


Comments

Exaud John makyao
11/04/2010 11:48pm

Naipenda sana CRI,
Matangazo yake ni makini na uwanja wa salaam ni mpana.
Nawasalimu wapenzi wote wa salaam Kenya na Tanzania.

Reply
08/09/2010 8:32am

i love this station especialy on the swahili broadcast and i wanted to correspond from mombasa because am a journalist covering the coast region on news, features and programmes my email-gabriel.mwambeyu@gmail.com/0727-770864 kindly get me you mail address

Reply
09/09/2010 10:01pm

Gabriel,
Nadhani umepokea ujumbe kwenye anwani pepe yako nilivyokujibu kuhusu ombi lako.
Nilikuandikia ifuatavyo:

Gabriel,
Kwa bahati mbaya sina mawasiliano ya moja kwa moja na Radio China.
Tafadhali tembelea tovuti yao kisha uache maoni pale, pengine watakujibu.
Anwani ya tovuti yao ni http://swahili.cri.cn
Asante!

Reply
Joseph Wangui
26/04/2012 4:26pm

Mine is a question of do you offer attachments here in Nairobi and how can I apply?
Please send me your address or contacts for inquiry through my email address njungerashid@yahoo.com.
I have done journalism and mass communication Diploma.

Reply



Leave a Reply