safi sana times fm nkiwa dar nkuya napenda sana kuskiza redio yenu bt nko moshi kwa sasa nashkueru sana ntawapata kwenye mtanfao ntaendelea kuenjoy
Reply
Leonard
18/10/2011 4:56pm
Mambo si mchezo yaani live bila chenga. big up times!
Reply
Muhajir
21/10/2011 8:42pm
Hongereni times 100.5 FM,yaani tulioughaibuni mnatusaidia sana.Nahisi kama nipo bongo vile!!
Reply
Mujuni
21/10/2011 10:04pm
Niko Trieste, Italy. Radio inasikika vizuri kabisa. Kama niko Dar. BIG UP!!
Reply
childa
23/10/2011 4:57pm
nipo japan nakula v2 vya tz kama nipo home,safi sana
Reply
M.J
01/11/2011 3:31pm
Bi Indu nakusikia, unanipa rahaaaa, wera weraaaaaaaaaa! ni ujerumani wayeee
Reply
werneld ngongi
14/11/2011 6:22pm
Habari zenu? Mi niko nchini China. Tunawapata vizuri sana ingawa wakati mwingine huwa inakuwa OffAir hasa Jumamosi na Jumapili. Kama jana niliwatafuta sana hamkuwa hewani. Kwa kweli mnajitahidi sana sikujua kama Radio Times FM inatisha hivyo na nikirudi bongo nitakuwa sasa nasikiliza. Msalimie sana Rose Chitallah mwambie sauti yake inaniacha hoi hapo inavyokuwa kama inakwaruza kwaruza
Reply
Angel
13/01/2012 2:53pm
nawapata kwa kwenda mbele yaani funikao bovu niko china,mpe hi dida
Reply
khaleenho
28/01/2012 12:27am
Waoooooooo nafurahi and am feel good ninaposikiliza times fm,,yaan kama nipo nyumban bongo vile!!!keep it up
Reply
Kizito
16/02/2012 11:26am
acheni hayo mambo.Eti hakuna mwanaume mwenye mke mmoja.mnataka kuiwambia nini jamiii inayowasikiliza? au ndio mnataka kuwahimiza wanaume wenye mke mmoja akatafute wa pili? mimi kwa ujumla nimeboreka sana na hii sentensi.sijui mnataka kupeleka ujumbe gani kwa jamii?