video credit: Kennedy Kimaro/ITV
 


Comments

laizer
25/03/2010 10:47pm

kwa kweli swala la kuonyesha maiti au ajli mbaya kwa television si jambola kiungwana kwani wanoona video hizi ikiwa pamoja na watoto na watu wa aina nyingi amabao reaction yao inaweza kuwa mbaya ni za kuzikitisha. Kwa jamaa wa marehemu ni kuwaongezea huzuni zaidi Tafadhali kama ni kuonyeshwa ajali sio sehemu inayonyesha maiti au majeruhi tuwaonee huruma wenzetu wa huzuni

Reply
30/03/2010 10:21pm

kila siku habari ndo hizi...mbn huwa hamtuambii nini hatma y aaliesababisha?inauma sana.....ITV muwe mnafatailia mpk mwisho wa case na mtuleleze nini hatma ya mkosaji ili iwe fundiho na next tym drivers watakuwa makini zaidi jamani......ah!!!!

Reply

Comments are closed.