Ndani ya video hizi, zipo taarifa hizi:
  1. Vifo vya watu katika mgodi wa madini katika wilaya ya Geita mkoani Mwanza.
  2. Ushauri wa washiriki wa Kongamano la Mwalimu Nyerere kuhusu Ujamaa.
  3. Wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakidai haki yao Mahakama Kuu Ya Tanzania.
  4. Bunge kuahirishwa kutokana na hitilafu katika vinasa sauti.
video credit: Kennedy Kimaro
 


Comments


Comments are closed.