Afadhali Mubelwa amechapisha posti ya kutimiza ahadi kwa Prof. Matondo maana nimeusikia wimbo ambao kwa muda mrefu sana nilikuwa nikijitahidi kuukumbuka lakini sikufanikiwa, wimbo wa V.2. - Nasonga Mbele.
 


Comments

07/09/2010 7:37am

We Da Subi, anayesonga mbele ni yeye V2 ambaye katuimbia wimbo huo NASONGA MBELE.
Sasa wewe wasema Songa mbele? Kwikwikwiii
Nashukuru kama katika chochote nilichoandika kimerejesha kumbukumbu ya ulichokuwa unakisaka.
Duh!! Sasa hivi hata mwingine akinipiga "dongo", nitakuwa na la kufurahia maana nimemkumbusha Dadangu alilokuwa akijitahidi kukumbuka bila mafanikio.
Shukrani kwa mara ya tena

Reply
07/09/2010 7:40am

aaah, nilichapia kiduchu eeh? asante kwa kunikosoa, 'kwisha rebekisha' hapooow sasa!

Reply

Comments are closed.