Utakubaliana nami baada ya kutizama video hii ya dk. 13 hasa dakika 4 za mwisho utakapoona vivutio vyote vikubwa vya asili vya nchini kenya vikoneshwa ndani ya dakika moja katika tangazo la kampuni ya simu ya SafariCom wakati wa maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo.
Kwa mwendo huu, hata ikiwa wameiga hapa na pale, sidhani kama hiyo inawaondolea sifa ya pongezi na sidhani kama uko ubaya katika kuiga na kuboresha chako. Hongera sana Wakenya.
