Comments

19/11/2010 11:29am

Kwa magazeti, Mimi huwa naangalia kupitia Agape Television Network, kwani wanaeleza magazeti kwa kirefu kidogo mpaka kurasa za ndani. Muda ni saa 1.30 asubuhi na kurudia saa 2.30 asubuhi kwa saa za afrika mashariki.
Nawapata kupitia satellite ya Hellas 2, sijui kama wanapatikana kinamna vinginevyo kwa wale walio mbali na vituo vyao

Reply
19/11/2010 11:33am

Chib, asante sana kwa input hiyo. Binafsi sikuwa nafahamu. Shukran sana kwa detailed info.

Reply

Comments are closed.