Shukrani kwa Mwanakijiji kwa kurekodi na kuweka video hii  youtube na kuruhusu embedding. Mtu yeyote anayetaka kutizama ITV online (na TV nyinginezo za Tanzania na Afrika), tayari nilishaelekeza kuwa waweza kufanya hivyo kupitia TV4Africa.com kwa kufuata masharti yao (bofya hapa kurejea maelekezo hayo).



 


Comments

Moses
28/11/2010 12:23pm

Hakika kuna watanzania hawana uchungu na maslai ya watanzania wenzao,kwakweli jana nilihudhinika sana kitendo cha upinzani kwa upinzani kushambuliana, nadhani ufike wakati viongozi wale tuliowachagua wawe na uchungu na wananchi na wala si maslai yao,bado lawama nazielekeza kwa CUF kwa kukosa simile na kujisahau kuwa upinzani ni ushindani na wala si umoja wa vyama vilivyoungana.Poleni watanzania,Mungu yupo na ametuonyesha kusikiliza kilio chetu kwa kuwapa chadema wabunge wengi ambao naamini watapigania maslai ya watanzania wote.MUNGU IBARIKI TANZANIA NA IANGALIE KATIKA MAMBO YOTE YA MSINGI.

Reply
Mboga moto Ugali moto
28/11/2010 3:46pm

Tena wewe Moses ndo huna uchungu kabisa na wananchi pamoja na hao jamaa zako hao yaani wanapwaya Hata Hamadi Rashid ameonyesha ukomavu mkubwa wa Siasa. Hongera Hamad wa CUF. Hao jamaa ni wachanga matapeli wakacheze Disco pale Billlsss.

Wameulizwa kabla ya kupata ubunge walikuwa wakipinga mishahara ya wabunge na marupurupu eti wanauchungu na wananchi sasa wameingia mbona wapo kimya kwa hilo??? Yaani mimi kwa hilo siwaelewi kabisa na nitakuja kuwatoa mkuku hapo Bungeni. Kwa kweli wakikubali kupokea hiyo mishahara ni dhambi kwa Mungu kwani hiyo hoja ndiyi iliyowajengea imani kwa wananchi kumbe wamewatali??????????

Reply
Mohammed Khelef
28/11/2010 10:39pm

Nadhani mwenyekiti hakuwa na uwezo wa kuendesha mdahalo muhimu kama huu. Kwa mfano, maswali ambayo anauliza ni mepesi na ya kuegemea upande mmoja sana. Suali moja ni wagombea wa viti maalum. Kwa CUF, alikuwa specific na nini alitaka kujua, kwa CHADEMA alikuwa so general kiasi ya kwamba haijuilikani angelitaka Mhe. Mbowe aseme nini.

Reply
Jovin
28/11/2010 11:26pm

Mdahalo feck, baada ya kuzungumza mambo ya msingi wanatuletea matatizo yao binafsi,

Reply
Muhogo
29/11/2010 10:39am

Mwendeshaji hakuwa amejiandaa vyema na hakuijua vyema mada,alipendelea upande wa chadema kw kuuliza maswali yasiyonedana na maada.ITV ni CHADEMA

Reply
john
29/11/2010 1:09pm

SIASA ZA TANZANIA NA WANASIASA.
-Mdahalo na wadahauliwa
-Mada bila malengo
-Mwendesha mdahalo bila mdahalo
-Wanasiasa bila siasa
-Wasikilizaji bila masikio
-Watazamaji bila macho
Ama kweli Tanzania bado tuko mbali katika mageuzi kisiasa.
Nakumbushwa kuwa hawa ndio viongozi wa vyama vya siasa Tanzania.
Na kama ndiyo kweli, atakayeiondoa CCM madarakani ni CCM yenyewe siyo hawa wapinzani.

Reply
Salim
29/11/2010 1:45pm

Mbona maelezo na majibu ya swali la kwanza yaliyotolewa na Mh. Hamad Rashid yamekatwa kwenye video ya kwanza halafu hayakuendelezwa kwenye video ya pili?

Ukizingatia kuwa huyo Mwanakijiji ni mkereketwa wa Chadema, inaniwia taabu watu wenye nia njema na nchi wanaweza wakatumia ujanja kuficha na kunyofoa majibu ya upande mmoja wa washiriki wa huo mdahalo. SHAME ON YOU!

Reply
Tosh
29/11/2010 5:00pm

Wote walioshabikia cuf ni waislamu, Hicho chama ni cha udindi na hata ukiangalia aslimia kubwa ya wanachama na viongozi wake utakuta ni kofia na hijab, haitakuja tokea hata siku moja nchi yetu ya tanzania ikaongozwa kidini, Hata baba wa taifa alisema nchi haiwezi kuongozwa na dini wala mwandawazimu. so cuf hamna nafasi mpaka mjirekebishe

Reply
Hillary Mushi
30/11/2010 2:16pm

Tanzania Hakuna Upinzani wa Kweli Tukubali hilo

Reply
kevin
30/11/2010 8:31pm

Mi nadhani hawa wenzetu wa cuf wanahitaji kuelimishwa.Ni kweli Lipumba ni mchambuzi na mtu makini! Ila jamaa zake waislamu wanamaliza kwa kuchanganya uislam na siasa.HAMTAFANIKIWA, TUNAHITAJI KIONGOZI MAKINI NA SIO DINI!!!!!!!

Reply

Comments are closed.