Video ya Kwanza ya sehemu ya Utangulizi, inapatikana Youtube, haijawekwa hapa kwa kuwa sauti haisikiki hivyo nimeweka sahemu ya Pili - Mawaziri na Manaibu wa Wizara wakitangazwa ambayo sauti inasikika.
credit : Mwanakijiji
 
 
Kutoka kwa Zidane hadi kwa Eto'o, na hadithi itaendelea...
 
 
 
 
Ni wakati Mbunge Tundu Lissu aliposoma vifungu kukosoa kasoro katika Sheria, Kanuni na Taratibu za bunge katika uteuzi na uchaguzi wa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri.
 
 
Hata hivyo aliyepata nafasi ya uwakilishi katika Bunge la Umoja wa nchi zilizomo kusini mwa Afrika, SADC, ni bi. Sophia Simba (CCM).
 
 


credit : mwanakijiji
 
 
 
 
 
 
------
------
 
 
---
---