| You never close your eyes anymore When I kiss your lips And there's no tenderness Like before in your fingertips You're trying hard not to show it, baby But baby, baby I know it
| |

Neil Diamond | Dolly Parton
You've lost that lovin' feeling
Whoa, that lovin' feeling
You've lost that lovin' feeling
Now it's gone, gone, gone,
whoa...
Now there's no welcome look
In your eyes when I reach for you
And now you're starting to
Criticize little things I do
It makes me just feel like crying, baby
'Cause baby,
Something beautiful is dying
Baby, baby,
I get down on my knees
And pray to you
If you would only love me
Like you used to do
We had a love, a love,
A love you don't find everyday
So don't, don't, don't
Don't let it slip away
Bring back that lovin' feeling
Oh, that lovin' feeling
Bring back that lovin' feeling
Now it's gone, gone, gone
And I can't go on, whoa...
--
Neil Diamond & Dolly Parton
No need to say you're sorry
No need to feel ashamed
If I'm not the one you love
Don't feel you're to blame
I don't deny it hurts me
And this pain is hard to hide
But at least I lived a little while
Before I died
I lived long enough to know
The sweet thrill of your lips
I knew happiness
Right down to my finger tips
You'll always be a part of me
Though you can't be mine
At least I lived a little while
Before I died
Don't ask me to forget you
'Cause you mean too much to me
I couldn't even if I tried
Too many memories
My yesterday's were happy days
And each mem'ry's locked inside
At least I lived a little while
Before I died
I lived long enough to know
The sweet thrill of your lips
I knew happiness
Right down to my finger tips
You'll always be a part of me
And though you can't be mine
At least I lived a little while
Before I died
---
Jim Reeves
Click the play button to listen (lyrics below)
Don't look down or you're gonna fall
Things are gonna get easier
Much too serious, lighten up
This climb ain't made to be pleasing you
Don't look down or contemplate
You're doin' fine, you're makin' it
Fix both your eyes and concentrate
Step at a time you're takin' it
Don't look down, just don't look down
Don't look down give a little more
Just forget how high you been
Every step becomes a floor
Every floor is a little thin
Don't look down
You're gettin' there
Straight ahead to the very top
Sunny skies and open air
Ain't no glory if you stop
Don't look down
I'm beggin' now
Don't let your sense be leavin' you
Keep your mind on the straight ahead
Some other time you'll enjoy the view
Don't look down, don't look down
---
Neil Diamond
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, katika mahojiano yake na Mubelwa Bandio, amesema ni lazima Mkurugenzi wa TBS ndugu Charles Ekelege afikishwe mahakamani kwa makosa ambayo wana vielelezo vyenye uthibitisho nayo.
Zitto amesema aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Uchumi, Ndugu Cyril Chami hatapelekwa mahakamani kwa kuwa hakuna ushahidi wowote dhahiri unaoonesha kuwa alihusika moja kwa moja na makosa yaliyofanyika TBS. Tayari Chami amewajibishwa kwa kuondolewa cheo chake cha Uwaziri katika marekebisho ya Baraza la Mawaziri lililofanywa na Rais hivi karibuni. Kamati inasema, kosa la Chami ni la kutokuchukua hatua ya kumwajibisha Mkurugenzi wa TBS na kujitetea kuwa hakuwa na mamlaka kisheria wa kufanya hivyo, jambo ambalo Kamati ililikataa na kusema alipaswa kumtaarifu na kumshauri Rais kuhusu tatizo na kutaka ruhusa yake ya kumwajibisha Mkurugenzi huyo.
Badala yake, Mkurugenzi wa TBS, Ekelege ndiye atakayefikishwa mahakamani kwa makosa ya rushwa ya wazi na pia kuwa na uhusiano wa moja kwa moja wa kuanzishwa makampuni "bogus" ya kukagua magari, bila kufuata vigezo na kuikosesha Serikali na Taifa mapato makubwa (dola za Kimarekani milioni 18). Ushahidi mmojawapo ni ule uliofanywa na mtu aliyepo nchini Uingereza ambapo alipiga picha katika dampo la magari mabovu na kuiwakilishia kampuni iliyomo nchini humo kutaka vibali ambapo alifanikiwa kupata tiketi ya kulisafirisha bila hata ya kufanyiwa ukaguzi. Baadaye ilithibitika kuwa kampuni hiyo ina uhusiano wa moja kwa moja na mmoja wa wafanyakazi wa TBS.
Suala hili lipo chini ya Kamati ya Mashirika ya Umma kwa hivyo watashughulika naye moja kwa moja.
Msikilize audio kwenye kisehemu cha audio kilichopachikwa hapo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe leo amezungumzia suala la yeye kutaka kuwania uongozi wa juu kabisa wa nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ifikapo mwaka 2015.
Vile vile ametoa ushauri kwa watu wenye nia ya kuwania kiti hicho.
Bofya kifute cha pleya kumsikiliza akizungumzia kwa ufupi kuhusu hilo.