You never close your eyes anymore
When I kiss your lips
And there's no tenderness
Like before in your fingertips
You're trying hard not to show it, baby
But baby, baby
I know it 

Picture
Neil Diamond | Dolly Parton

You've lost that lovin' feeling
Whoa, that lovin' feeling
You've lost that lovin' feeling
Now it's gone, gone, gone


whoa...

Now there's no welcome look
In your eyes when I reach for you
And now you're starting to
Criticize little things I do
It makes me just feel like crying, baby
'Cause baby,
Something beautiful is dying

Baby, baby,
I get down on my knees
And pray to you
If you would only love me
Like you used to do


We had a love, a love,
A love you don't find everyday
So don't, don't, don't
Don't let it slip away


Bring back that lovin' feeling
Oh, that lovin' feeling
Bring back that lovin' feeling
Now it's gone, gone, gone
And I can't go on, whoa...

--
Neil Diamond & Dolly Parton

 
 
No need to say you're sorry
No need to feel ashamed
If I'm not the one you love
Don't feel you're to blame

I don't deny it hurts me
And this pain is hard to hide
But at least I lived a little while
Before I died

I lived long enough to know 
The sweet thrill of your lips
I knew happiness 
Right down to my finger tips  


You'll always be a part of me
Though you can't be mine
At least I lived a little while
Before I died

Don't ask me to forget you
'Cause you mean too much to me
I couldn't even if I tried
Too many memories

My yesterday's were happy days
And each mem'ry's locked inside
At least I lived a little while
Before I died

I lived long enough to know 
The sweet thrill of your lips
I knew happiness 
Right down to my finger tips

You'll always be a part of me
And though you can't be mine
At least I lived a little while
Before I died 

---
Jim Reeves

 
 
Click the play button to listen (lyrics below)

Picture

Don't look down or you're gonna fall
Things are gonna get easier
Much too serious, lighten up
This climb ain't made to be pleasing you
Don't look down or contemplate
You're doin' fine, you're makin' it
Fix both your eyes and concentrate
Step at a time you're takin' it

Don't look down, just don't look down

Don't look down give a little more
Just forget how high you been
Every step becomes a floor
Every floor is a little thin

Don't look down
You're gettin' there
Straight ahead to the very top
Sunny skies and open air
Ain't no glory if you stop

Don't look down
I'm beggin' now
Don't let your sense be leavin' you
Keep your mind on the straight ahead
Some other time you'll enjoy the view
Don't look down, don't look down

---
Neil Diamond  

 
 
Hii ni sehemu ya nne na ya mwisho katika mfululizo wa mahojiano ya  Mubelwa Bandio na Mhe. Zitto Kabwe.

Katika sehemu hii anaelezea:

  1. Mustakabali wa Tanzania katika nyanja ya mafuta na gesi? Je! Tanzania ina gesi kiasi gani? Ni mikataba gani iliyosainiwa na hiyo ina tofauti gani na ile ya zamani? Ni nini Serikali inapanga kufanya na pesa za madini?
  2. Suala la mipango miji kwa maeneo yanayokua.
  3. Tatizo la usafiri na miundombinu kwenye miji kama Dar-es-Salaam.
  4. Tatizo katika mfumo wa Magereza na haki za wafungwa.
  5. Ni kipi ambacho CHADEMA inajivunia kama matokeo ya harakati zao nchini?

AUDIO/SAUTI


Video/Vidio inapatikana:  youtube.com/watch?v=k1mUXz_kRRI
.
 
 
Hii ni sehemu ya tau kati ya mfululizo wa mahojiano ya Mubelwa Bandio  na Mhe. Zitto Kabwe.

Katika sehemu hii, Zitto anayazungumzia Mashirika ya umma nchini Tanzania. Je! Yapo kwa faida ya wananchi?
Kama Mwenyekiti wa Tume ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma anazungumzia vipi tatizo la TANESCO?
Ni nini kilisababisha shirika la TANESCO kufikia lilipo? Vipi wanajizatiti kuondoa hasara iliyolikumba? Ni vipi wana-diaspora wanaweza kushiriki katika kufufua TANESCO?

Ni wapi pa kuwekeza nchini?

Ukuaji wa miji na suala la mipango miji.

Kufuta vyeo vya Wakuu wa Mikoa na Wilaya.

Kwa nini kilimo ndiyo uti wa mgono japo kinazalisha kwa asilimia ndogo zaidi nchini? 

Ni vipi Tanzania inaweza kuondoka katika umaskini kwa muda mfupi?

Elimu ya Tanzania, inakua ama inaporomoka? 

AUDIO/SAUTI


VIDEO/VIDIO

 
 
Leo ni arobaini ya marehemu Steven Kanumba. 
Iliyopachikwa hapa ni audio kutoka tovuti ya MillardAyo.com ya makala inayomhusu marehemu. 
 
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, katika mahojiano yake na Mubelwa Bandio, amesema ni lazima Mkurugenzi wa TBS ndugu Charles Ekelege afikishwe mahakamani kwa makosa ambayo wana vielelezo vyenye uthibitisho nayo.

Zitto amesema aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Uchumi, Ndugu Cyril Chami hatapelekwa mahakamani kwa kuwa hakuna ushahidi wowote dhahiri unaoonesha kuwa alihusika moja kwa moja na makosa yaliyofanyika TBS. Tayari Chami amewajibishwa kwa kuondolewa cheo chake cha Uwaziri katika marekebisho ya Baraza la Mawaziri lililofanywa na Rais hivi karibuni. Kamati inasema, kosa la Chami ni la kutokuchukua hatua ya kumwajibisha Mkurugenzi wa TBS na kujitetea kuwa hakuwa na mamlaka kisheria wa kufanya hivyo, jambo ambalo Kamati ililikataa na kusema alipaswa kumtaarifu na kumshauri Rais kuhusu tatizo na kutaka ruhusa yake ya kumwajibisha Mkurugenzi huyo. 

Badala yake, Mkurugenzi wa TBS, Ekelege ndiye atakayefikishwa mahakamani kwa makosa ya rushwa ya wazi na pia kuwa na uhusiano wa moja kwa moja wa kuanzishwa makampuni "bogus" ya kukagua magari, bila kufuata vigezo na kuikosesha Serikali na Taifa mapato makubwa (dola za Kimarekani milioni 18). Ushahidi mmojawapo ni ule uliofanywa na mtu aliyepo nchini Uingereza ambapo alipiga picha katika dampo la magari mabovu na kuiwakilishia kampuni iliyomo nchini humo kutaka vibali ambapo alifanikiwa kupata tiketi ya kulisafirisha bila hata ya kufanyiwa ukaguzi. Baadaye ilithibitika kuwa kampuni hiyo ina uhusiano wa moja kwa moja na mmoja wa wafanyakazi wa TBS.

Suala hili lipo chini ya Kamati ya Mashirika ya Umma kwa hivyo watashughulika naye moja kwa moja.

Msikilize audio kwenye kisehemu cha audio kilichopachikwa hapo.


 
 
Hii ni sehemu ya pili kati ya mfululizo wa mahojiano ya Mubelwa Bandio na Mhe. Zitto Kabwe.

Katika sehemu hii, Zitto anazungumzia juu ya hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA na Tanzania. Hofu ya ukuaji wa CHADEMA. Matatizo yanayoukumba uchumi wa nchi. 

Je! Zitto anahofia kuwa yale yaliyotokea kwenye nchi za Arabuni yanaweza kutokea Tanzania?
Kwanini anasema kuna tatizo la uwajibikaji nchini Tanzania?
Ni ipi silaha ya mwanasiasa wa Tanzania?

Suala la kura za hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Ilikuwaje, ikoje na nini kinafuata? Je! Baada ya kubadili Baraza la Mawaziri, hoja imekufa?

TATIZO LA AJALI. Kwanini maelfu ya wananchi wanakufa ajalini na hakuna kiongozi anayeonekana kujali ilhali akihusisha Waziri ama Mbunge mmoja nchi nzima inazizima? Kwanini serikali haiarifu wananchi kama inavyostahili na mengine mengi...

AUDIO/SAUTI


VIDEO/VIDIO

 
 
Mchezo wa soka si kipaumbele kama vile michezo ya NFL, MLB, NHL, NBA na mingineyo, lakini ushindi wa Manchester city mwishoni mwa wiki ulisababisha hata baadhi ya vituo vya habari viuzungumsie. Mfano ni NPR ambao wanaandika (na audio iliyopachikwa hapo ndiyo ina vionjo zaidi vya simulizi), “Manchester City's soccer team are now champions of England, having won the Premier League title on Sunday. It's a stunning and delightful development for die-hard fans. Manchester City, which is not to be confused with Manchester United, hasn't won a championship for 44 years. Melissa Block talks with Jim White, sports columnist with the Telegraph and native of Manchester.”
 
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe leo amezungumzia suala la yeye kutaka kuwania uongozi wa juu kabisa wa nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ifikapo mwaka 2015.

Vile vile ametoa ushauri kwa watu wenye nia ya kuwania kiti hicho.

Bofya kifute cha pleya kumsikiliza akizungumzia kwa ufupi kuhusu hilo.