Watoto wenye hemophilia walitembelea Bagamoyo hivi karibuni. Ziara iliandaliwa na Hemophilia Society of Tanzania. taarifa na picha via Richard Minja, Rais wa HST. ---- Ufunguo: Hemophilia ni tatizo la damu kutoganda kutokana na hitilafu anayorithi mtu wakati wa kuzaliwa. Dalili zake zinazoonekana kwa macho ni pamoja na kutokwa damu mfululizo kwa muda mrefu unapotokea mchubuko, kukatwa/kujikata, kutoneshwa/jitonesha kidonda n.k. Vipimo vya maabara huthibitisha ikiwa dalili hizo ni za ugonjwa wa hemophilia ama la. 1 Comment ![]() Dr. Michael Clair (center) Instead of using surgical posts for root canals, Dr. Michael Clair used paper clips. That's right—paper clips. An X-ray of a genuine root canal shows the surgical post implanted in the tooth that is supposed to be made of steel. But Dr. Clair used a cheap paper clip. Joshua Almeida is one of the patients who had a paper clip inserted into a back tooth. He lost the tooth. Dr. Michael Clair's practice was in a shopping mall in Fall River, Massachusetts. Authorities believe Clair didn't even sterilize the paperclips he used. He simply cut them up with a pair of scissors right out of the box. Several of his patients complained that they developed infections after he performed root canals. Authorities say the motivation was pure greed. Clair billed Medicaid for real surgical steel posts. The 53-year-old disgraced dentist appeared in court Monday for sentencing after pleading guilty to defrauding Medicaid of $130,000. He was sentenced to a year in prison and led off in chains. via InsideEdition With thanks to the writer of the article below, I thought it was okay to share the message with wavuti.com readers/visitors because it concerns Tanzanians. Dear Subi. Thanks so much for continuing to provide Tanzanians with uncontaminated and relevant information through your blog. I would like to acknowledge your effort and those of who are doing the same in the threads posted and in other forums too. I would like to kindly request you to give me a space on your blog to share my personal appraisal of the situation at the moment. As a stakeholder in the health sector and so do you, improving the quality and safety of health services in this country and wherever else, requires meeting the needs and expectations of both internal [healthcare workers] and external [patients and community] customers. These needs and expectations are variable but at the end of the day they are all determinant factors for success. My analysis of this situation, doctors are for the first time in history demanding for both internal and external customers rights, expectations and needs. I am a bit disappointed by the breeze of the discussion in the sense that everyone is so focused on that doctors should return as the government should be addressing their needs. One could argue that this is possible, but think about hepatitis B vaccine – such a crucial but affordable intervention. Currently the Ministry is not providing for this and it is truly unacceptable. What about medical insurance for doctors? In several occasions I have been approached by colleagues that we make a contribution for fellow doctors who are admitted at Muhimbili Orthopedic Institute and other private hospital, and yet these are the key providers of the service in the country. I can not over-emphasize how the wages are a total mismatch with what these individuals do, bearing in mind current inflation rates and the like. The external ones are more important and I bet if the community could have understood about this, may be they could be the ones denying to go to facilities. These doctors have been complaining about lack of infrastructure, materials, supplies and equipment, factors of which truly compromise the safety and quality of the services offered to patients, albeit doctors presence in the facilities. There are some anecdotal reports on the lack of stuff listed hereunder in a number of reputable hospitals in the country:
These are just examples, but my point is, I am not seeing a clear strategy in trying to address these issues, and it is high time that the government take care of the internal clients needs and promptly work together in addressing the external clients needs starting with the most life-threatening ones. There are people in the country who could work with the government in coming up with solutions if given opportunity. I submit. Ni ujumbe kutoka kwa mdau wa afya, unajieleza! Tafadhali tuachane na kuuliza "nani mjumbe" tukazie "nini ujumbe"! It is very possible that, private practice in India is driven by pay back system, you refer a patient to Apollo you get paid. I just don't have evidence but I am sure move za hospitali kukusanya wagonjwa na kuwapeleka India zitakuwa driven by this payment system, I bet our officials may also be involved. And these people are serious about that business, Apollo wanaanza kuwapa huduma wagonjwa Dubai, so from the airport you start getting services. And the practice is made in such a way unafanyiwa vipimo vingi kadiri inavyowezekana, including those you don't need, the aim being to maximize the cost. I am posted at Christian Medical College Hospital in India, this is a hospital which is not business oriented, but it is the best cardiology centre in India, it is one of the best nephrology centre in India also, iko Tamil Nadu km 120 kutoka Chennai. The cost of services here is 1/3 ya gharama za Apollo and the like, the cost is even cheaper as compared to cost of some services in Nairobi (kuna mgonjwa alikuwa na leukemia Nairobi, gharama ya matibabu Nairobi ilitosha kulipia usafiri, matibabu gharama za kuishi hapa Vellore na akabaki na change), but guess what, no one is referring patient to CMC even in India itself because this hospital does not entertain the system of pay back!!!!! It is very sad in deed! YATOKANAYO...Upo msemo mmoja ulivuma siku chache zilizopita, unasema, "ukiona manyoya, basi ujue keshaliwa" Kwa hivyo, ujumbe huu unaweza ukawa umetufungua macho wengine tuliokuwa tukikuna vichwa kujiluliza kulikoni? Vipi "kutiririka" kwenda India kwa matibabu kwa viongozi wetu kunashamiri na kushika kasi hivi? Mimi kwa mfano nilijiuliza: Je! Hii inatokana na wagonjwa hao kukosa imani na tiba toka kwa wataalamu wetu? Kwamba, wanahisi wanapewa tiba isiyo na kiwango? Au ni imani ya kasumba ya kujitakia au kufuata mkumbo tu kwamba matibabu ya "mzungu" au "mhindi" ama "mchina" yanaponesha vyema na haraka zaidi kuliko yale ya "mbantu" mwenzetu? Hatuamini wala kuuthamini utaalamu wa wataalamu wetu? Ikiwa madai yao kwamba wanakwepa huduma hafifu na mbovu, je, hawa viongozi wanaokuwa wepesi kutaka matibabu nje ya nchi, wanakosaje akili ya kuwawezesha wataalamu wetu kwa vifaa na mazingira bora ya kazi kwa kutumia fedha hizo hizo wanazozipeleka "India" ili nasi Watanzania tujivunie Watalaalamu wetu, wananchi wa kipato cha chini nao wasioweza kwenda "India" nao wapate nafuu ya tiba nzuri? Mbona tunadharauliana hivi? Umewahi kujiuliza ni kwa nini Watanzania wengi wanaohama nchi na kuajiriwa nchi nyingine wanasifika kwa uchapa kazi wao lakini wakiwa Tanzania walidharauliwa hata pale waliposhauri yaliyo ya haki? Ama ndiyo "Nabii hakubaliki kwao?" Fedha wanazolipwa viongozi wetu hawa si zinatokana na kodi za wananchi na rasilimali za mumu humu ndani jamani? Sasa badala ya kuzizungusha humu ndani, ni kwa nini zinapelekwa kunufaisha mataifa ya nje? Ama yote hayo hayana maana kwa kuwa fedha zenyewe, haziendi "nje" kweli bali zinazunguka na kurudi mifukoni mwao? Hii nchi hii, ukisikia "pa" ujue ndiyo hivyo tena...! International Development Minister Stephen O'Brien visited Mabokweni village in Tanga, Tanzania to see the mass distribution of drugs that will help to prevent and treat neglected tropical diseases. On 21 January 2012, Stephen O'Brien announced that Britain will supply more than four treatments every second for people in the developing world for the next four years as part of a global push to help eliminate infectious tropical diseases. British support is leading the way and will protect more than 140 million of the world's poorest men, women and children from the agonising pain caused by these avoidable infections which deform, disable, blind and kill. The pledge marks a five-fold increase in Britain's support as part of an international effort to help rid the world of neglected tropical diseases, currently affecting one billion people and killing more than half a million every year. It comes ahead of a conference in London on 30 January 2012 when the Bill and Melinda Gates Foundation, governments, NGOs, multilateral organisations and the private sector will unite to help consign the diseases to history. Watch the video below and also find out more at: www.dfid.gov.uk/ntd-jan2012 Haya ndiyo madhara na athari za matumizi ya dawa za kulevya hasa yanapounganika na msongo wa mawazo unaotokana na kuachishwa kazi na/au ugomvi wa kifamilia kati ya mume na mke. Mbali na hasara ya vitu, hasara ya uhai wa binadamu pia hutokea. Ndicho kilichomkumba mama huyu wa watoto wawili huko California baada ya kuwaua na kumjeruhi mumewe (yupo hospitali sasa) na binamu yake. --- When a 23-year-old Fresno woman fatally shot her two toddlers and a cousin, critically wounded her husband then turned the gun on herself last Sunday, investigators immediately suspected methamphetamine abuse in what otherwise was inexplicable carnage. It turned out the mother had videotaped herself smoking meth hours before the shooting. In family photos, the children are adorable, the mother pretty. They lived in a large apartment complex near a freeway with neatly clipped lawns and mature trees. The father was recently laid off from a packing house job. "When you get this type of tragedy, it's not a surprise that drugs were involved," said Lt. Mark Salazar, the Fresno Police Department's homicide commander. "Meth has been a factor in other violent crimes." A Bakersfield mother was sentenced Tuesday for stabbing her newborn while in a meth rage. An Oklahoma woman drowned her baby in a washing machine in November. A New Mexico woman claiming to be God stabbed her son with a screwdriver last month, saying, "God wants him dead." "Once people who are on meth become psychotic, they are very dangerous," said Dr. Alex Stalcup, who treated Haight Ashbury heroin users in the 1960s, but now researches meth and works with addicts in the San Francisco Bay Area suburbs. "They're completely bonkers; they're nuts. We're talking about very extreme alterations of normal brain function. Once someone becomes triggered to violence, there aren't any limits or boundaries." Soma zaidi: AP : Horrific murder no surprise in meth capital of US Wasichana 12 wamepatwa na ugonjwa ambao bado haujafahamika bayana, ingawaje watu wanafananisha dalili zake na ugonjwa ujulikanao kam a Tourette's syndrome" ambapo mtu hutetemeka pasina sababu. Kwa hali ya wasichana hawa madaktari wanadhani ni aina fulani ya 'hysteria'. Hysteria ni tatizo la kisaikolojia ambalo huwatokea mara nyingi wasichana wanaoishi pamoja kwa muda mrefu kama vile katika shule za bweni au kambi za muda mrefu. Tatizo hili limezoeleka sana nchini Tanzania na hujionesha kwa dalili za kucheka sana, kutetemeka na kuanguka. Unaweza kusoma zaidi historia yake "The Tanganyikan Laughing Epidemic of 1962" kama ilivyoandikwa hapa (bofya kufungua) Hili la mabinti wawili bado linatolewa maelezo tofauti na madaktari tofauti, kila mmoja na dhana yake, (mifano michache tu, tizama ctv.ca, youtube 1, youtube 2 na youtube 3 nyinginezo) pengine mwishoni watafikia uamuzi wa pamoja na kukubaliana aina ya tatizo linalowasumbua wasichana hawa. Sasa soma zaidi kisa hiki cha wasichana 12 wa New York: Girls with mysterious Tourette - like symptoms by rmurray@nydailynews.com, nydailynews.com Twelve girls from an upstate New York high school began developing tics and emitting mysterious outbursts. Officials at Le Roy Junior-Senior High School in Amherst, N.Y. scrambled to figure out how and why the girls were suddenly exhibiting Tourette's -like symptoms. The answer, according to one doctor: mass hysteria. "It's happened before, all around the world, in different parts of the world," Dr. Lazslo Mechtler, a neurologist told the Today show in an interview Wednesday morning. "It's a rare phenomena. Physicians are intrigued by it. The bottom line is these teenagers will get better." But the diagnosis doesn't mean the girls are lying about their ailments. “That’s not faking it,” said Today show contributor and psychologist Dr. Gail Saltz. “They’re real symptoms. They need a psychiatric or psychological treatment. Treatment does work.” Thera Sanchez, a high school cheerleader and art student, said she couldn't pin down why her tics started. “I was fine. I was perfectly fine,” she told the morning show on Tuesday. “There was nothing going on, and then I just woke up, and that’s when the stuttering started.” While it’s not clear which of the students first began to exhibit the bizarre symptoms - like verbal outbursts, siezures and uncontrollable tics. Once one person becomes affected, other people can feed off the stress and begin to exhibit the same symptoms, sparking an epidemic of panic. The school ran tests on air quality and mold, and investigated carbon monoxide and illegal drugs as potential causes, but found nothing. “We have conclusively ruled out any form of infection of communicable disease and there’s no evidence of any environmental factor,” Dr. Gregory Young of the New York Department of Health told NBC News. Still, parents aren’t satisfied. “Obviously, we are all not just accepting that this is a stress thing,” one of the girl’s father’s, Jim Dupont, said to TODAY. “It’s heart-wrenching, you fear your daughter’s not going to have a normal life.” Mtoto mdogo wa kike anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka tisa,amelazwa wadi namba saba katika Hosiptal ya Mkoa wa Kilimanjaro,Mawenzi akiuguza majeraha aliyoyapata yanayodaiwa kutokana na kipigo ambacho amekuwa akikipata kutoka kwa shangazi yake ambaye ni Mwalimu wa shule ya Msingi Narumu iliyopo wilaya ya Hai. mtoto huyo ambaye kwa sasa ameathirika kisaikolojia kutokana na tukio hilo,inadaiwa na wasamalia wema kuwa,mwanamke huyo amekuwa akimpa vipigo mara kwa mara kwa kutumia waya. Taarifa ya jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro iliyotolewa kwa vyombo bya habari imedhibitisha ukatili dhidi ya mtoto huyo na kwamba mtuhumiwa aliyetajwa kwa jina la Anna John(28)mkazi wa mtaa wa Kiusa katika Manispaa ya Moshi, bado anashikiliwa kwa mahojiano zaidi. Kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo ni matokeo ya wanawake wanaojihusisha na uuzaji wa mboga mboga na matunda wa mtaa wa Kiusa mjini Moshi kuamua kufuatilia nyerndo za mtoto huyo baada ya kutumwa sokoni na mtuhumiwa na kisha kurejea tena sokoni akiwa analia na kuwapa hofu kina mama waliokuwa sokoni na kuhoji kulikoni. Kamanda wapolsisi mka wa Kilimanjaro Absalom Mwakyoma katika taarifa yake kwa vyombo vya habari juzi amedai kwua,baada ya kina mama hao kuhoji kulikoni mtoto huyo alidai shangazi yake asiyek uwa na chembe ya utu hata kidogo alimpiga kwa madai kuwa vitu alivymtuma sokoni si vile alivyonunua. Kwamba mtoto huyo alipewa sh,2,000 ili akanunue ndizi mbichi,nyanya na nyama robo lakini mtoto huyo alinunua ndizi mbivu pamoja na nyanya na kupeleka nyumbani akiamini kwamba ametimiza kile alichotumwa. Wasamalia wema ambao ni kina mama wauzaji wa mbogamboga pale Kiusa moshi wlailazimiak kumwongeza mtoto yule pesa ili anunue nyama robo pamoja na ndizi mbichi na kumpa ili apelike nyumbani kuepuka vipigo tena. Mtoto huyo alirejea sokoni kwa mara ya pili akilia tena hali ambayo lishtua kina mama hao na kuamua kuhoji kulikoni?,hapo wakaanza kumchunguza mwilini na kubaini unyama uliofanywa na shangazi yake na hapo wakaamua kwenda polisi wakiwa na mtoto huyo na hapo polisi wakaingia kazini na kumtia mbaroni mtuhumiwa. baada ya kuchunguzwa zaidi mtoto huyo amebainikak uwa ma makovy ya zamani na makovu mapya tumboni,ubavuni pamoja na mgogoni na baadhi ya makovu mapya hadi jana yalikuwa yakitoa damu kuonyesha ni jinsi gani alivyoteswa. Mtalamu mmoja wa masuala ya kitabibu katika Hospital ya mawenzi (jina limehifadhiwa) amesema mtoto huyo kisaikolojia ameumia, atakuwa mwoga na hata shule hawezi kufanya vizuri kwa maana nyingine ni kwamba anakabiliwa na msongo wa mawazo ambao unaumiza kuliko hata ungonjwa wenyewe. Katika Hospital ya Mawenzi alikolazwa mtoto huyo,umati mkubwa wa watu uijaza hapo ukiongozwa na mbuge wa Viti maalumu (CHADEMA), Lucy Owenya na waliokuwapo hapo wamelaani unyama huo na kutaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya mtuhumiwa. Hata hivyo wengi wamehoji kama unyama huo unatendwa na mtu aliyeenda shule mwenye taaluma ya mwalimu ambaye siku zote jamii inaamini mwalimu ni mlezi wa watoto,huko kwingine hali ikoje? Kama mwalimu anamtenda hivi mtoto ambaye ni damu yake kwa maana ya mtoto wa kaka yake,itakuwaje kwa watoto wa wengine hasa anaowafundisha darasani ? (picha na habari "credit" Charles Ndagulla via Kalulunga blog) Uchunguzi wa kuaminika uliofanyika katika maduka mengi Dar, Moro na miji kadhaa mingine umegundua kuwa wauza nyama wamekuwa wakifanya mchezo hatari wa kupulizia nyama sumu za kuua wadudu ili kuzuia inzi. Sumu zinazotumika sana sana ambazo watu wengi hutumia kuua mbu ni rungu, Hatari, expel, Baygon, Hit, doom na nyinginezo. Katika maduka mengi siku hizi ukienda utaona nyama imetundikwa sehemu ya wazi lakini hakuna inzi. Wafanyabiashara wa nyama wameona kuwa hiyo ndiyo mbinu ya kuvutia wateja ambao wengi hawapendi kununua nyama ambayo imekaliwa na inzi. Uchunguzi huo ulifanyika kwa kuwauliza wauza nyama ambao baadhi walikiri kufanya hivyo ili kuvutia biashara. Uchunguzi pia umebaini kuwa pamoja na kufanya zoezi hilo kwa usiri mkubwa, baadhi ya wanunuzi wamekuwa makini kwa kuinusa nyama wanayonunua, kwani kwa kufanya hivyo harufu ya 'sumu' huwa dhahiri. Napenda kuwatahadharisha tunapoenda kununua nyama tuwe makini, maana madawa haya japokuwa yanasemwa kuwa hayana madhara makubwa kwa binadamu, lakini mojawapo ya ingredient yake (piperonyl butoxide) iliyomo kwenye hizi sumu, inafahamika kuwa ina madhara makubwa kwenye kukua na kukomaa kwa ubongo hasa kwa watoto. (via JamiiForums) Picha unazoziona hapo ni za wakazi wa Japan wanaotaka kuwa tofauti na wanadamu wengine kwa kujitafutia maumbo ya ajabu ajabu, almaaruf "bagelheads". Niliwahi kuhadithiwa na Mwitaliano mmoja kuwa nyakati fulani wanaume katika jamii yao walipenda kufanya operesheni ya kukuza taya za chini ili kufanya sura zao kuwa pana kidogo, umbo lililofananishwa na uzuri wa kuwavutia wanawake. Hivi majuzi katika ripoti ya uchunguzi iliyofanywa nchini Marekani, wanaume wengi zaidi ya ilivyorekodiwa miaka iliyotangulia, walikiri kuhudhuria kliniki mbalimbali kwa ajili ya kufanya "bro-tox" (kinyume cha botox) ili kuondoa mikunjo na "kasoro" walizohisi wanazo katika sura zao. Uchunguzi huo uligundua kuwa wanaume laki tatu walifanya brotox. Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 29 tu alipoulizwa sababu ya kufanya bro-tox, alisema inatokana na kukerwa na mikunjo inayotokea usoni anapocheka au kuzungumza. Jibu la kijana huyu lilinishangaza kwani ni jambo la kawaida kabisa kwa mwanadamu asiye na kasoro. Misuli huchora mikunjo mwilini kufuatia vichocheo vya hisia vinavyozaliwa kulingana na aina ya maongezi, shughuli au jambo fulani. Tunapozungumza na watu ana kwa ana, mikunjo hii husaidia kurahisisha maelewano kwa kuongeza maana kwenye maneno yanayotamkwa. Wakati mwingine mikunjo ya uso tu, kama vile kukonyeza, kutikisa nyusi, kupinda mdomo nk, bila hata ya kuzungumza neno moja, hutosha kabisa kutuma ujumbe kwa anayekutizama. Leo hii mikunjo hiyo ikiondoka, mathalani inavyotokea kwa wagonjwa waliopooza sehemu fulani za miili yao kutokana na kuzaliwa hivyo au kwa hali ya ugonjwa, huwa inahitaji usikivu wa ziada ili kuweza kumwelewa vilivyo mtu huyo. Mimi nadhani, ikiwa mikunjo mwilini haina madhara makubwa kwenye afya kuadhiri mahusiano na watu wengine katika maisha ya kila siku, basi ni sahihi kabisa kujikubali na kuacha asili iwe ilivyo, kwa mfano tujifunze kwa Seal. Penis Tattoo Blamed for Permanent Erection A 21-year-old Iranian man now suffers from a permanent erection after getting a tattoo on his penis, according to a report of his case. The man had the Persian phrase "borow be salaamat," meaning "good luck with your journeys," tattooed on his penis. He also had the letter M, the first letter of his girlfriend's first name, tattooed on it, according to the report. His condition is medically known as priapism, which is said to occur when an erection is not caused by sexual stimulation and lasts longer than four hours. The condition most commonly happens in boys ages 5 to 10, and men ages 20 to 50. The case report, published Jan. 3 in the Journal of Sexual Medicine, notes that this is the first case of tattooing causing the condition. Tattoo troubles A tattoo artist created the design with a handheld needle, according to the report. After the tattooing, the man bled from tissue deep within the penis, and experienced pain for eight days. His penis then became semi-erect, 24 hours per day. When he visited the doctors, his erection had been ongoing for almost three months. The doctors conducted numerous tests to rule out other possible causes, such as a urinary tract infection, leukemia or syphilis. They determined that the tattooing was probably to blame, and suggested the needle may have been inserted too deeply. The doctors determined that blood was still flowing in and out of the man's penis, so they diagnosed him with a nonischemic priapism. This occurs when blood enters the penis faster than it can go out, leaving the penis permanently erect, due to the increased pressure. An ischemic priapism, in which blood is no longer flowing, is a much more serious condition, and can cause severe damage if not treated. Treatments Doctors recommended that the man undergo a shunt procedure to drain excess blood. But the shunt did not work. According to the report, the man did not wish to undergo additional surgery because he can still have sexual intercourse and he is not in pain. He also does not regret the tattoo, the report said. The doctors do not recommend penile tattooing, according to the study. Pass it on: Penile tattooing left one man with permanent semi-erection. This story was provided by MyHealthNewsDaily, a sister site to LiveScience. Follow MyHealthNewsDaily on Twitter @MyHealth_MHND. Find us on Facebook. | Vitabu vya WatanzaniaBofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala
Yaliyomo/CategoriesAll Hifadhi/ArchivesFebruary 2012 |














RSS Feed