wavuti
wavuti logo Facebook icon Facebook icon Twitter icon Subscribe RSS
 
Picture
Lake Victoria Environment Management Project (LVEMP) hivi karibuni waliandaa mashindano ya muandishi bora wa habari za mazingira katika ukanda wa Ziwa Victoria. Pichani ni waandishi wa habari waliofanya vizuri katika zoezi hilo. Kutoka kushoto ni Bw. Deus Bugaywa kutoka gazeti la The Guardian, Katikati ni Bw. Vedastus Msungu kutoka ITV/Radio One na Kulia ni Bi. Diana Nachilonga kutoka Gazeti la Mwananchi.
credit: McKepha "Lifetime" blog
 
 
Picture
 
 
Picture
Balozi Mpya Nchini Marekani, bi Mwanaidi Sinare-Maajar akisalimiana na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania mjini Washington, DC mara tu alipowasili tarehe 31 Agosti 2010 (photo credit: Dj Luke blog/Vijimambo)

 
 
“Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiuun”
Truly ! to Allah we belong and truly, to him we shall return”
Picture
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume (wa tano toka kushoto) akijumuika na Viongozi wengine katika swala ya Maiti ya aliyekuwa Mufti Mkuu wa Zanzibar, Marehemu Sheikh Harith Bin Khelef, katika Msikiti wa Mwembeshauri leo.
credit photos: Othman Maulid Othman
 
 
Muslims across the world are currently observing Ramadan, a month long celebration of self-purification and restraint. During Ramadan, the Muslim community fast, abstaining from food, drink, smoking and sex between sunrise and sunset. Muslims break their fast after sunset with an evening meal called Iftar, where a date is the first thing eaten followed by a traditional meal. During this time, Muslims are also encouraged to read the entire Quran, to give freely to those in need, and strengthen their ties to God through prayer. The goal of the fast is to teach humility, patience and sacrifice, and to ask forgiveness, practice self-restraint, and pray for guidance in the future. This year, Ramadan will continue until Thursday, September 9th.

See below are some photos from Boston.com's Big Picture grande collection.
Picture
Thousands of Muslims gather in the Grand Mosque, in Islam's holiest city of Mecca and home to the Kaaba (center), as they take part in dawn (fajir) prayers on August 29, 2010, to start their day-long fast during the holy month or Ramadan. (AMER HILABI/AFP/Getty Images)
Picture
A Syrian Muslim girl stands at the top of Mount Qassioun, which overlooks Damascus city, during sunset and prays before eating her Iftar meal on August 22, 2010. (REUTERS/Khaled al-Hariri)
Please click here to visit the site to see the complete collection in which you can also submit your photos for the next publication! Peace to all Muslims! May Allah accept your genuine prayers!
 
 
Picture
photo credit: PwaniRaha.com
 
 
Former WBA bantamweight champion Wladimir Sidorenko (22-2-2, 7 KOs) had an unanimous decision win over Mbwana Matumla of Tanzania (19-5, 11 KOs) on Saturday at the Independence Square in Kiev, Ukraine.

The three judges scored 120-108; 119-109 and 120-108.

Sidorenko now takes the vacant WBC International Silver super flyweight title.

Below are some action photos from the ring (click to enlarge a bit, sorry for the size & watermarks, that's all I got).
Picture
Mbwana Matumla (L) vs Wladimir Sidorenko (R)
 
 
Picture
Mgombea ubunge wa jimbo la Iringa Mjini kupitia CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa akionesha kadi zilizorudishwa katika mkutano huo na wana CCM waliopinga kuenguliwa kwa Frederick Mwakalebela (photo: Francis Godwin)
 
 
Picture
Wakiwa wameketi juu ya miti mithili ya ndege kwenye viota au Askari usalama lindoni, ha ni wakereketwa wa CHADEMA wakisikiliza kampeni za kisiasa zilizozinduliwa Jangwani, Dar Es Salaam. (credit: Michuzi Jr2)