Banyana Banyana 6 Twiga Stars 0 07/25/2010
Magoli matatu kwa kila kipindi cha mchezo yaliiwezesha timu ya Tafia ya soka ya wanawake ya Afrika Kusini, Banyana Banyana 'kuwadushua' wenzao wa Tanzania, Twiga Stars mabao sita kwa nunge. Mechi hiyo ilichezwa siku ya Jumamosi katika uwanja wa Makhulong, Afrika Kusini mbele ya washabiki wanaozidi elfu tano. Goli la kwanza la Banyana Banyana lilifungwa dakika ya 16 ya mchezo kufuatia shuti refu la Yola Jafta na hivyo kuitikisa ngome ya ulinzi ya Twiga Stars, siri ambayo ilisababisha wapinzani wao washambulie zaidi ambapo dakika kumi na tatu baadaye, mchezaji Smeda aliandika bao la pili. Wakati Twiga wakitafakari imekuwaje bao hilo kuingia, dakika baadaye, yaani dakika ya 39 ya mchezo, Smeda alitundika kimyani bao la tatu kwa kichwa, bao ambalo lilidumu hadi kipindi cha kwanza kinakwisha. Baada ya mapumziko, kipindi cha pili kilianza kwa kocha wa Banyana Banyana, Augustine Makalakalane kuwabadili wachezaji watatu ambapo golikipa, mshambuliaji na kiungo walipumzishwa ili kuwapa nafasi chipukizi wengine. Mabadiliko hayo yalizaa matunda dakika ya sitini na tisa ya mchezo ambapo mchezaji mpya Popela alifunga bao la nne. Kocha wa Banyana Banyana alifanya mabadiliko mengine ya kuwatoa wachezaji watatu na kuwaingiza wengine wapya ambapo mmoja kati yao, Nkhumise, hakufanya ajizi kwani alimthibitishia kocha kuwa 'anaweza' kwa kuandika bao la tano. Tanzania nayo ilifanya mabadiliko kwa kuwatoa wachezaji watatu na kuwaingiza wengine wapya lakini mabadiliko hayo hayakusaidia kupata hata goli la machozi na badala yake mchezaji wa Banyana Banyana, Sikiti, alifunga kitabu cha magoli pale alipoandika bao la sita. Meneja wa timu hiyo Fran-Hilton Smith alisema wamefarijika sana kuifunga Tanzania kwani ni timu yenye rekodi nzuri na ambayo ilifuzu kuingia katika kinyang'anyiro cha African Woman’s Championship. ![]() Mwenyekiti mpya wa klabu ya soka ya Yanga, nchini Tanzania, Lloyd Nchunga amesema kuwa suala la kuanzisha kituo cha Radio na Runinga kwa klabu ya Yanga bado lipo palepale mara baada ya kukabidhiwa ofisi na viongozi waliomaliza muda wao, Nchunga amesema kuwa yapo mambo mengi ambayo yatafanyika katika klabu hiyo ili Yanga iweze kuwa na faida nayo. Mojawapo ya mambo hayo ni kukarabatiwa kwa kiwanja cha michezo kwa kushirikiana na mfadhali wa klabu hiyo ya Jangwani, Yusuf Manji. Kiwanja hicho kikishakarabatiwa kitatumika kwa mazoezi ya timu na siyo kwa michezo ya ligi kuu ya Tanzania Bara. credit: Jane John Simba SC yataja kikosi chake cha msimu huu 07/20/2010
Klabu ya simba imetangaza kikosi cha wachezaji ishirini na sita ambao ni: JUMA KASEJA, ALLY MUSTAFA, RAMADHAN SHAMTE, SALUM KANONI, MUSSA MGOSI, JUMA JABU, JUMA NYOSO, AMIR MAFTAH, JOSEPH OWINO, MOHAMED BANKA, KEVIN YONDAN, DAVID NAFTARI, ABDULLHIM HUMOOD, JERRY SANTO, HILAL ECHESA, AMIR KIEMBA, SHIJA MKINA, NICO NYAGAWA, RASHID GUMBO, UHURU SULEIMAN, SALUM AZIZ, EMANNUEL OKWI, PATRICK OCHAN, MBWANA SAMATA, MOHAMED KIJUSO na CHARLES HAULE. Kocha mkuu ni PATRICK PHIRI il hali makocha Wasaidizi ni AMRI SAID na SULEIMAN MATOLA. credit: Jane John Kambi ya ndondi mazoezini... 07/17/2010
Pichani ni m moja wa mabondia wanaojifua, Pendo Njau kama "alivyofotolewa" na Jane John (credit) Azam FC yatangaza 22: Wapya 8, Waachwa 10 07/14/2010
Klabu ya soka nchini, Azam FC inayoshiriki ligi kuu soka ya VodaCom Tanzania Bara imetangaza usajili wa wachezaji ishirini na wawili, wanane kati yao wakiwa wapya huku kumi wa kikosi kilichopita wakiachwa. ![]() Said Mohammed Abeid / Mwenyekiti - Azam FC Katika taarifa iliyomo katika tovuti ya klabu hiyo, wachezaji wapya waliosajiliwa na timu hiyo ni Mohamed Binslum (Huru), Jackson Chove (JKT Ruvu), Jabir Aziz na Ramadhan Chombo 'Redondo' (Simba), Mrisho Ngasssa (Yanga), Kalimangonga Sam Daniel Ongala Rampling 'Kali Ongala' (GIF-Sweeden), Patrick Mutesa Mafisango (APR- Rwanda) na Peter Senyonjo (Polisi-Uganda). Wachezaji waliobaki ni John Bocco, Erasto Nyoni, Jamal Mnyate, Salum Aboubakar 'Sure Boy', Vladmir Niyonkuru, Philip Alando, Luckson Kakolaki, Malika Ndeule, Aggrey Morice, Salum Swed, Ibrahim Shikanda, Ally Manzi, Seleman Kasim 'Selembe' na Ibrahim Mwaipopo. Wachezaji waliopanda toka timu ya vijana 'Azam Academy' ni sita ambao ni Sino Augustino, Himid Mao, Mau Ali, Tumba Swed, Ali Mkuba na Samih Nuhu. Wachezaji walioachwa ni Chrispin Odula, Habib Mhina, Maridad Haule, Nsa Job, Said Swed, Salum Machaku, Yahya Tumbo, Ben Kalama, Shaaban Kisiga na Dan Wagaluka. Jaume Marquet Cot better know by the name "Jimmy Jump" who looked like was trying to grab the World Cup trophy but just put a hat on top of it, a few minutes at the FIFA's Final match of the World Cup in South Africa, has been fined 2,000 Rand by a South African court. Cot appeared in a Johannesburg court charged with trespassing and attempted theft at the match between Netherlands and Spain. The 34-year-old escaped the security and run more than 50 meters across the pitch on the north side and was eventually tackled within a few feet of the trophy. An official guarding the trophy came rushing from the other side, then punched him to the floor, after which he was carried into the tunnel before being arrested. It is said that he did not intend steal the trophy, rather, wanted to put the Spanish-style hat he has on it. People who know him say he is a notorious and serial invader at major events - his last stunt seeing him find his way onto the stage during Spain's performance at the Eurovision Song Contest in Oslo, Norway. FIFA Fair Play Award 2010 goes to Spain 07/12/2010
The Spanish team emerged the winner of the FIFA Fair Play Award 2010 after ending the tournament as both the best team in the world and also the fairest. The team collected only 8 yellow cards in the course of the tournament. Korea DPR finished with just 2 yellow cards, but they only played three matches at the finals. The FIFA Fair Play Award for Spain comes as little surprise in the light of the fair play ratings from 2006, when the Spaniards and Brazil finished joint top. ![]() (Top from L) Spain's striker Pedro, Spain's midfielder Sergio Busquets, Spain's defender Sergio Ramos, Spain's defender Joan Capdevila, Spain's defender Gerard Pique, Spain's midfielder Xabi Alonso; (bottom from L) Spain's goalkeeper Iker Casillas, Spain's midfielder AndrĂ©s Iniesta, Spain's striker David Villa, Spain's midfielder Xavi, Spain's defender Carles Puyol pose before the 2010 World Cup football final between the Netherlands and Spain on July 11, 2010 at Soccer City stadium in Soweto, Johannesburg. almost there, almost...! but, what could have gone wrong? why o why? Soccer, it's more than just a game. Oh! The joys and sorrows of soccer..., and the pains of loosing...! The Spanish goalkeeper, Iker Cassilas has won the adidas FIFA World Cup 2010 Golden Glove. The Spain keeper has conceded only two goals at South Africa 2010. Under pressure after La Roja opened up with a shock defeat by Switzerland, Casillas has since showed superb displays that proved crucial to his Spain's progress to a Final they have long dreamed about. One of his most vital interventions was the second-half penalty save from Paraguay's Oscar Cardozo in the quarter-finals, the prelude to two more priceless stops in the closing minutes. In this his third FIFA World Cup™ finals, the ice-cool and ultra-professional Spain captain has reproduced his very best form, showcasing his agility and fabled powers of concentration and confirming his status as one of the finest custodians in the world. |