wavuti
 
Kuna hili tukio la ukwapuaji wa kutumia gari ambao umekuwa ukishamiri sana hapa jijini kwa sasa,hivyo naomba uweke hapo mtaani kwetu ili wadau waweze kuwa makini na tukio kama hili. Kuna tukio limetokea hapa Sinza maeneo ya Mapambano njia ya nyuma kama unaenda Mwenge kwenye miti mirefu bar moja inaitwa kwa jimmy .

Kuna vijana 2 walikuwa wanatembea njiani mmoja kabeba begi lake la vitabu ghafla gari ndogo ikampitia kwa pembeni mtu aliyekwepo ndani ya gari akakwapua begi la yule kijana ambapo kulikuwa na simu na karatasi zake .

Huyo kijana alipiga kelele kidogo nilikuwa mbele yao nikajua labda ni tatizo lengine kumbe wenyewe wameibiwa bei lao kwahiyo ile saloon car nyeupe ikakimbia moja kwa moja

Kijana aliyeibiwa anaitwa Erick Thomas Jongela simu yake anasema ilikuwa na line 2 moja ni 0715 241204 na 0756 816 770 hizi line zilikuwa kwenye simu hiyo iliyokwepo kwenye begi lililoibiwa

Mwenzake mwenye simu anaitwa Fadhili no yake ni 0713 76 59 05 Kwa mtindo huu jamani muwe makini mnavyotembea na mabegi yenu pamoja na mali zingine zisivutie sana wahalifu hawa .

Nimetoa kisa Hichi kama tukio la kweli lililomkuta mtu naamini tigo pamoja na voda kwa kushirikiana na vyombo vya dola vitaweza kufuatilia simu ya kijana huyo na kuweza kupata taarifa zingine zinazohusiana na simu hiyo toka ilipozimwa mara ya mwisho.

Habari kwa mujibu wa blogu ya Othman Michuzi
 
 
Picture
Pata burudani hiyo kwenye ukurasa wa Audio (bofya hapa).

Nyimbo hizo zilizopo kwenye kaseti ya 'UKUMBUSHO' utunzi wake hayati Hemedi Maneti akiwa na Vijana Jazz Band ni:

SIDE A
1. Jiko limenuna
2. Najilaumu
3. Nilitaka iwe siri

SIDE B
1. Unikubalie
2. Ndoa ni kuvumiliana
3. Madaraka kwenye bar

Shukrani ya nyimbo: John B. mwenye blogu ya Likembe.

 
 
Pata huduma murua na za uhakika kabisa za utalii nchini Tanzania kupitia  Real Adventure Safaris
Picture
Zephaniah S. Kambele (Zepha)
Real Adventure is a Fully Licensed reliable Tour Operator organizing safaris and tours to explore the nature of Tanzania. Real Adventure is run by a qualified team of professionals with over 20 years of combined experience in the travel industry. The vehicles and equipment used are of high quality. Our professional and experienced staff are always up to discuss and arrange proper itineraries.

Our focus is on QUALITY SERVICE and SAFETY! Combine this focus with the beautiful scenery and wildlife of Tanzania, Real Adventure is the ideal company to arrange your life time adventure. We specialize in wildlife safaris in all the National Parks and Game Reserves of Tanzania including the Serengeti National Park-endless plains, the Ngorongoro Crater-eighth natural wonder of the world, Lake Manyara- tree climbing lions, Tarangire, Mikumi, Ruaha and Arusha National Park; Selous Game Reserve and all other wildlife areas. A visit to Lake Eyasi for hunting with the Bushmen (Hadzabe is not to be undermined due t its unique)

Real Adventure also specializes in mountain climbing/trekking including Mount Kilimanjaro, Mount Meru and Oldonyo Lengai. Additionally, Real Adventure can combine these excursions with walking safaris, cultural tours, biking and Zanzibar beach holidays. We are a full service tour company: we will arrange your flights, book your accommodations, arrange for transfers, and much more. Real Adventure will guide you to and through the nature of Tanzania with quality service and your safety always in mind.

Picture
Apart from service other parts of the world, we highly encourage our fellow Tanzanians to allow us take them through the beautiful scenery of their own country. There are a lot of options ranging from one day trip to over 30 days trip. We have a long time experience and knowledge in customizing trips and this will surely be worth to you plan. Please let us know what you wish and we will discuss with you for a life memory trip.

You can plan a family trip during your holiday/leave from work, either a private trip or a joint trip with friend families to even make the costs down.

As you are looking for professional and experienced staff, high quality food and equipment, book with Real Adventure Co. Ltd.

Please feel free to visit our website www.realadventuresafaris.com for further information and whenever a need arises do not hesitate to contact us. Gideon, Eli, or Zephaniah (au “Zee” as just being baptized by Da Subi!) will be there to come back to you in time for a fruitful discussion/conversation.

Real Adventure Co. Ltd,
P.O. Box 16906,
Arusha.
Tanzania-East Africa.

E-mail: info@realadventuresafariscom
           realadventureltd@habari.co.tz

Website: www.realadventuresafaris.com

Tel (office):      +255 732 972 432
Emergency Number:  +255 787 316 205  (Egidius)
                               +255 782 062 949

Tourist Agency Licence (TALA) No. 00010520

Member of TATO
"Safari Experts in Tanzania - Locally Owned and Guided"
 
 
Honda CRV. Model 2000. Automatic. 4 cylinder. Color: Metalic Golden. Imetembea mileage 47000 tu.
Bei ni maelewano kupitia +255784524148 na/au +255715524148
Bofya picha zifuatazo kuzikuza kwa muonekano mzuri zaidi
 
 
Start Time: Friday, May 28, 2010 at 8:45am
End Time: Sunday, May 30, 2010 at 12:45pm
Location: CONCOURSE HOTEL AND CONFERENCE CENTER
Street: 4300 INTERNATIONAL GATEWAY
City/Town: Columbus, OH View Map
Tunapenda kuwatangazia kwamba Mchungaji Christopher Mwakasege toka Tanzania, anatarajiwa kufika na kuhudumu hapo Marekani katika jimbo la Columbus, Ohio katika tarehe za May 28, 29 na 30, 2010 (MEMORIAL WEEKEND).

Mchungaji Christopher Mwakasege amekuwa akihubiri na kufundisha Habari Njema za Neno la Mungu pamoja na mambo yanayohusu vijana na jamii kwa ujumla.

Ratiba kamili itatolewa hapa hivi karibuni.

SEHEMU
HOTEL CONCOURSE AND CONFERENCE CENTER
4300 INTERNATIONAL GATEWAY
COLUMBUS, OHIO
USA

REGISTRATION
REGISTRATION NI $40 FOR SINGLE AND $50 FOR COUPLES. THE REGISTRATION FEE COVERS BOTH ROOM AND BOARD, INCLUDING FOOD FOR THE ENTIRE CONFERENCE TIME.

www.mwakasege.org

For more information, please contact these people below:
Amos Jackson 614 218 0716
Richard Nyonyi 614 622 0667

[hizi ni taarifa za awali, taarifa zaidi zitafuatia hapo baadae]
 
 
Habari ya Kazi,
Mimi ni mdau mkuu wa blog wako, kuna shida ambayo huwa inanitatiza sijui kama ni mi peke yangu au hata baadhi wateja yamewakuta haya.
 
Mwaka jana Benki ya Exim imetambulisha huduma mpya au akaunti mpya inaitwa FAIDA akaunti kutokana na matangazo yao wanaonyesha kwamba ukipata hiyo kadi kuna faida nyingi ikiwemo ku nunua bidhaa kwenye mtandao (on-line purchasing), haya matangazo yamenishawishi kufungua akauti ya FAIDA, sasa mpaka leo hii asubuhi hii najaribu kuweka details ya hiyo Faida Card ambayo ni Debit Master Card naambiwa kuwa ajili kwa kununua bidhaa "You have entered an invalid number or partial credit card or debit card number. Please check your entry and try again", Tafadhali naomba wahusika wa Exim bank watupe statement yao kuhusu hilo suala, kwa sababu wametufanya tuhamishe fedha kutoka kwenye benki nyingine  na kuweka kwenye hiyo account tukitaraji kwamba tuta purchase on-line kumbe hamna kitu, sasa huu sio uongo wa ki macho macho na kupoteza uaminifu wenu kwenye jamii ya Watanzania?
 
Nawasilisha Meza kuu...
 
Wake Mteja wa Faida na Mdau wa Blog 
 
 
Picture
While perusing the PC Mag blog, I came across this post worth sharing with people using Microsoft products regarding some very important message that users of Microsoft products needs to be aware of.

In a few months to come, Microsoft is going to end its support for some products and services, therefore it is recommended that people running these software need to update them before the set date for closure.

On April 13, 2010 support will end for Windows Vista with no service packs (Vista RTM and Vista SP0), and Windows XP SP2. If you are running these versions after that April 13 you will no longer receive updates or support.
What do do? Apply the latest service pack (SP2 for Vista, SP3 for XP) or buy a new PC running Windows 7.

On July 13, 2010, Windows 2000 in all service packs will reach the end of it's "Extended Support Phase" meaning no updates anymore. (Probably also the end of all support for Internet Explorer 5, currently supported on Windows 2000 only).

On July 13, 2010, all editions of Windows Server 2003 will be moving from the Mainstream Support phase to the Extended Support phase. This means the end of "no charge" support and Microsoft will no longer be providing new non-security hotfixes. You will need to open a paid support case in order to get support from Microsoft.

 
 
Napenda kukutaarifu kuwa kunanafasi kibao sana za scholarship especially ambazo huwa ni ngumu sana kuzipata kama MBA,pia kuna nafasi maalum kwa ajiri ya wanawake in Agricultural sector.

Najua una watu wengi unaowajua,basi wape taarifa wapitie wenyewe kupitia hapa www.mallaba.ning.com
Ninachofanya nikuwasaidia tu kupata hizo infos wala sio application, hivyo basi kila mtu kulingana na nafasi atakayoiona inafaa basi anaweza ku apply mwenyewe.
 
Many thanks,
 
Ni mimi mtanzania na mzalendo, 
Dr.  Mallaba Raphael
SCF

Shukran Dk. Mallaba kwa taarifa. Tunatumai ya kuwa wadau watachangamkia fursa hizi.
 
 
Msaada tutani tafadhali!

Natafuta dawa moja ya kichina ilikuwa ikiitwa Miobao.

Inakuwa kwenye form ya fungi, na inaota juu ya chai. Ilikuwa maarufu sana miaka mwisho ya 90 .
Tafadhali kama kuna mtu anayo kati ya UK ama Bongo, niwekee mstari kwenye email yangu na nitafuatilia.
natanguliza shukrani.

Cheers,
jkaku55@hotmail.com
 
 
Mmoja wa wachekeshaji katika kikundi cha Commedy kinachorushwa na TBC anawaalika katika blogu yake ya www.mkandamizaji.blogspot.com
Picture