YATOKANAYO na kumbukumbu ya picha hizi... Picha ya wanafunzi hawa nadhifu imenikumbusha nikiwa STD 1 tulipokuwa tunaimba, Tujioshe mwili mzima twende safi shuleni x2 Meno tusugue pia nguo tufue x2 Na kagele keupe Mwalimu anapenda x2 Hii ndiyo afya tunayofunzwa shule x2 Ama kwa hakika ya kale dhahabu na maisha ni historia kila leo. Inafurahisha kuwaona wanafunzi bado wanaanza shule wasichana wakiwa wamevalia "vizibao" yaani sketi iliyoungwa na kushikizwa mabegani. Wakati mmoja nilimwuliza Bibi (nimelelewa na kukua na Bibi ambaye ni Mwalimu Enzi za "Mwalimu", Mstaafu kwa sasa) ya kwamba, ni kwa nini siruhusiwi kuvaa sketi kama wasichana wengine il hali nilikuwa STD III tayari? - kwa maana tuliamini kuwa ukiingia darasa la tatu tayari hufungwi kuvaa vizibao, unakuwa umefuzu na kuvuka ngazi hiyo na sasa kuingia "heshima" kidogo kwa kupanda ngazi ya kuvua kizibao na kubakia na sketi nawe uweze kuruka "rede" vizuri. Bibi akanifahamisha kwamba, "kwa vile bado u mdogo. Umbo lako likikua ukawa si "nukta" tena, basi na wewe utavaa sketi..." akasiriba msumari wa jina "nukta" ambalo hadi leo kawaita mwanaye wa mwisho (ambaye jina jingine ni "Uhuru" kwa vile alizaliwa siku ile ile ya Tanganyika kupata Uhuru wake, Desemba 9, 1961) na mimi mjukuu wake (kutokana na ufupi wangu, hadi sasa ningali bado "andunje" lakini sivai "vizibao" ingawaje nina magauni mawili "vizibao"... siachi asili!). Nilipoingia darasa la nne, baada ya ripoti ya matokeo ya mtihani wa mwaka kwa STD III, nikanunuliwa zawadi ya sketi tayari kwa mwaka mpya wa masomo STD IV. Sitasahau kwa furaha niliyokuwa nayo, nikatamani shule zifunguliwe kabla ya wakati nami nikarige na "kagele kangu keupe"... Asiye kwenda shule ni mjinga kabisa x2 Barua ikija aitembeza kutwa x2 Huyo, huyooo.... Nakushukuruni kwa dhati walimu wangu wote mlionifundisha na kunisaidia kuyamudu maisha. Mungu akulipeni heri! Naanza kuhesabu namba, Moja, Mbili tatu x2 Nne, Tano, Sita, Saba, Nane, Tisa, Kumi x2 Vidole vya mikono yangu, Jumla yake kumi x2 Huku tano na huku tano, Jumla yake kumi x2 Vidole vya miguu yangu, Jumla yake kumi x2 Vidole vya miguu yangu, Jumla yake kumi x2 Ama kwa hakika Ya kale dhahabu! Unakumbuka? Unakumbuka nini? Shukrani kwa Juma Mtanda kwa picha hizi zilizonisababisha "nifunguke" na zamani zangu za "Juma na Roza" na "kushuka" kumbukumbu hiyo hapo! Kwa picha na habari za kutoka Mkoani Morogoro, itembelee blogu yake ya jumamtanda.blogspot.com Subi 1 Comment RITA kama Wakala wa Serikali ina wajibu wa kulinda haki za kimsingi ambapo imeanzisha kitengo cha kuandika na kutunza Wosia. Hii ni kutokana na matatizo mbalimbali yanayojitokeza katika jamii baada ya mhusika kufariki, na kutokana na unyanganyi wa mali wakati mmoja wa wanafamilia anapofariki. Wakala una dhamana ya kusimamia mirathi na uzoefu wetu wa muda mrefu unaonyesha kwamba mtu anapofariki bila ya kuacha wosia kunatokea migogoro, kama vile:
Pia wananchi wengi hawafahamu sehemu za kutunza Wosia kama Mahakama Kuu au Benki. Hata wachache wanaozifahamu wanashindwa kufanya hivyo kutokana na gharama za kutunzia wosia kuwa kubwa. RITA kama msimamizi wa haki za urithi na nyinginezo inao wajibu kuona kwamba haki za Urithi zinalindwa kwa misingi hiyo imeanzisha kitengo cha Wosia ambacho kitashughulika na kuandika na kutunza Wosia kwa huduma nzuri,usiri na gharama nafuu ambayo kila mwananchi ataweza kumudu. WOSIA MAANA YA WOSIA Ni tamko au maandishi anayotoa mtu wakati wa uhai wake akielezea mazishi yake yatakavyofanyika likionyesha mahali atakapozikwa au jinsi mali zake zitakavyogawiwa kwa warithi wake baada ya kifo chake. AINA ZA WOSIA Kuna aina mbili za Wosia;
The article below titled, " Until divorce do us part" was cross-posted from TheCitizen Newspaper written by Sharifa Kalokola --- In recent weeks, it has become impossible to talk about divorce without mentioning the recently divorced celebrity couple, Kim Kardashian and Kris Humphries who were married for only 72 days. If you thought theirs was a short union, what would you say about others like Britney Spears who annulled the marriage to her childhood sweetheart Jason Alexander after 54 hours? Even screen goddess, Julia Roberts called it quits with her country singer husband, 21 months after their glamorous wedding. And the list goes on and on. Married couples are meant to stay married until death. But the trend being set by international and local celebrities, is attaching a humongous price tag to the whole drama of divorce. In the United States, divorce is considered a booming business attracting a multitude of entrepreneurs. But, you need not focus on international celebrities to understand the depth of this problem; look around you. Friends, colleagues and relatives are deserting the marital union as if possessed by some anti-marriage spirit. In the unlikely event that couples part ways, amicably or otherwise, legal experts advise that a prenuptial agreement could help manage the strain. A prenuptial agreement is simply a contract entered by a couple before marriage to decide the fate of part of or all their assets should the marriage come to an end. Many courts recognise these agreements, which must be drafted, signed and witnessed by a lawyer. The ‘prenups’ (as they are usually referred to) may also include terms of penalty in distribution of assets should the divorce be fuelled by adultery or other unpleasant circumstances. If children are involved, custody issues may also be included. Critical thinking In the wake of multiple divorce cases, lawyers have begun softening up to the prenuptial agreement whose origin and preconditions do not augur well with African and religious stipulations. Mohamed Kajembe a lawyer with the Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) advises that the society needs to remain liberal on issues surrounding prenuptial agreements because these documents are known to efficiently settle property issues. “Our societies are feeling the heat from the ugly post-divorce wrangles yet they are stuck to old habits of looking for solutions after problems have occurred,” he said. “The problem with Africans is that we are quick to dismiss some practices without really giving them critical thought.” Another learned friend, Mr. Juma Mwandago who works with Global Law Chambers affirms this position and he is unhappy with the way people refer to ‘prenups’ as non-Tanzanian culture. “The gist of the matter is that divorces happen here in Tanzania but no one really sees the value of a prenuptial agreement until their marriage collapses,” says Mr. Mwandago. “Currently no laws bind such agreements, however they are considered valid if the contract is availed. The law of the land views marriage as a lifetime bond,” he says. Both learned friends advocate the revision of marriage laws to incorporate such issues. Missing the point of marriage Strongly opposed to the legislation of the prenuptial agreements are few couples who read distrust and ill motives among people who sign the pre-marital contracts. For Hamud Salim, 30, and his 27-year-old wife, Eunice Marwa, signing a prenuptial agreement never crossed their minds. “When we entered marriage, we became one unit. Everything we own is ours and should we ever call it quits, we will follow the procedures provided by the law,” Eunice said. This couple feels that prenuptial agreements are for those with second thoughts about marriage. “These people are motivated to stay married because of money or something else. They quickly look for the exit when their fuel runs out,” says Hamud. Frank Simon, the 48-year-old laboratory technician, also believes that couples who sign this document get into the marriage deal for selfish commercial gains. Currently in his fourteenth year of a blissful marriage, Frank learnt of the existence of prenuptial agreements barely three months ago but he swears he would never have signed them. “These premarital contracts you are talking about are signed by couples who distrust one another and are bound by other things like money or fame,” he says. Additionally, he feels that marriages are destabilised when couples are not motivated by unity. Frank’s opinion may actually hold water given the rates of divorces in countries where this document is almost a prerequisite to marriage. In European countries, the prenuptial law came into effect in the early 70’s. The decreasing tolerance levels amongst couples today and increased level of openness and awareness of the law all have resulted in record high divorce rates. Focus on the disadvantaged Human rights bodies and gender activists are aware of the maltreatments women face when they lose their partners through divorce or death. Maimuna Kanyamala, a gender activist at Kivulini Centre, is confident that prenuptial agreements would work to empower women rather than increase the rates of divorce. “Either way, it is a fact that divorce rates are still high in Tanzania yet these contracts are a new phenomenon to many,” she says. “Women waste a lot of time and money fighting for their rights in courts; these contracts could be their only saviour.” Mwanaidi Gwao is a budding businesswoman but the 27-year-old who is the proud owner of a house and a car, is treading carefully on the path of marriage after seeing her mother go through a painful separation. “I grew up in hardship and I toiled like a donkey to create some wealth for myself,” she said. “After all the painstaking experience, catch me dead if my future spouse leaves me penniless. We will have to sign that contract and it will not mean that I love him any less.” Mwanaidi’s future spouse is not the only one who will have to contend with signing the dreaded agreement. Grace Maro, who runs a family business, is keen to safeguard her family’s assets. “For years, I have worked in my father’s firm and my spouse will not take control of any piece of it. These assets belong to me and my siblings,” she says. “Although you do want to marry someone you are basically compatible with, marriage has a lot less to do with marrying the right person than it has to do with doing the right things with the person you married.” In other words, relationships are a constant work in progress. To keep the happy connection that made you say “I do” in the first place, try out these 10 tips to rehab your romance. 1. Nurture yourself. Marriage is about giving, but don’t make the mistake of giving too much. “To have a good marriage, you need to be a good you,” says Bowman. “Learn how to prioritize and put boundaries around activities that keep you healthy and whole—activities like rest, relaxation, fitness and time with friends.” In other words, remember that scheduling “me” time into your day is not selfish, it’s a necessity. It will strengthen your relationship because you’ll have a saner version of “you” to bring to the “us” equation. 2. Define your problems. Spend some time looking at your relationship and figure out which parts work and which parts don’t. 3. Make a financial plan together. Money is one of the biggest stressors in a marriage. Couples worry and argue about it constantly. “Couples need to make an active plan about how they will manage their money: Combine it? Separate it? Create a joint account and keep some separate? Whatever the decision, both people have to be part of the decision to do it and then figure out what needs to be done to keep the system humming.” 4. Use the three-sentence rule. When you need to ask your partner for something that could be misconstrued as nagging, keep the request at three sentences—max. “When you keep your requests to three sentences or fewer, it’s almost impossible to blame, use sarcasm or use put-downs.” It’s also a lot more likely that you’ll get your point across without losing your spouse’s attention. 5. Take your fighting gloves off. Don’t duke it out. Instead, consider taking a time-out. “There's a concept called 'loss aversion' in economics, which simply means we really hate to lose. And when we think we are losing, we fight like there is no tomorrow to try to win,” says Anderson. “It happens when couples talk about hot-button issues like sex, housework, money or the kids. If either person thinks he or she is losing, he or she will ratchet up the stakes and escalate the issue.” The next time you see a spousal spat going to a not-so-happy place, take a break and revisit the subject when neither one of you feels overwhelmed by the topic. 6. Just do it. Yes, by “do it” it means, have sex. Intimacy is an important part of a vital relationship, and one of the first areas to suffer if feelings are floundering. But sexual encounters can also be one of the quickest ways to reconnect and rekindle with your partner. “Of the many forms of couple intimacy—a smile across a room, a kiss, a touch—sex has the potential to be the most powerful positive physical experience most of us enjoy,” says Joel D. Block, PhD. “This is especially true if sex results in emotional fulfillment, better communication, security and reassurance." 7. Burn your grudges. It’s time to set some bad memories on fire. Literally. Sometimes hanging on to those “Do you remember the time you did such and such?” moments are the things that lead to relationship sabotage. Instead of carrying grudges around forever, burn them. 8. Don’t be overly confident. Overconfidence can lead to complacency. According to Anderson, in a survey published in August 1993 in the journal Law and Human Behavior, couples who had recently applied for a marriage license were asked to estimate the average rate of divorce. Almost uniformly, they accurately predicted about 50 percent. Then they were asked to estimate the chances that they would get divorced. They answered zero percent. The problem with this statistic is that, if there is no perceived risk of failure, no “work” is put into maintaining the relationship—until it’s suddenly faltering. Don’t let yourself gloss over the little things. Don’t forget to make an effort to keep your romance alive. Don’t find yourself in a situation where you realize that you could have done more… when it’s already too late. 9. Remind yourself you have a choice to stay married. Many people stay in troubled marriages because they believe they have no other choice. “They think that they are stuck, and they blame this sensation of being stuck on their spouse. But if you are stuck, it’s your fault and not your spouse’s,” says Bowman. That fact is, “you are not stuck; you have choices. Three of them: Do nothing and remain miserable; face your fears and try to save your marriage; ask for a divorce.” 10. Write your spouse’s eulogy. Work on it a little at a time as a way to notice what your spouse does right. Think back over the years you’ve known this person. When did s/he make you laugh? When did s/he make you cry tears of joy? When did s/he surprise you?... Put it in the eulogy. “The funeral fantasy will help you remember to appreciate your spouse.” cross-posted from womansday.com (click to read the long version/original article) Barua za Shaaban Robert 1931 - 1958 06/12/2011
Sehemu ya chapisho linalosomeka hapa limenukuliwa kutoka blogu ya Prof. J. Mbele Kitabu cha Barua za Shaaban Robert ni mkusanyiko wa barua alizoandika Shaaban Robert kwa mdogo wake Yusuf Ulenge baina ya mwaka 1931 na 1958. Yusuf Ulenge alifanya busara ya kuzihifadhi na sasa zimechapishwa kama kitabu, na Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mhariri Profesa Mugyabuso Mulokozi amefanya kazi kubwa na watafiti wenzake katika kuzichapisha na kuziwekea maelezo. Nilikinunua kitabu cha Barua za Shaaban Robert mwaka 2008 katika duka la Taasisi. Nilifurahi na pia kushtuka kugundua kuwa Yusuf Ulenge alikuwa mdogo wa Shaaban Robert. Jina la Yusuf Ulenge nililifahamu tangu kwenye mwaka 1964, nilipokuwa darasa la sita. Nilinunua kitabu kiitwacho Nguzo ya Maji na Hadithi Nyingine, kilichotungwa na Yusuf Ulenge. Miaka yote sikuwa na wazo hata kidogo kuwa huyu alikuwa mdogo wa Shaaban Robert. Sasa, hizi barua zimenifungua macho kabisa, kwani nimejionea jinsi uhusiano wa hao ndugu wawili ulivyokuwa mkubwa na jinsi Yusuf Ulenge naye alivyokuwa mwandishi mahiri. Katika kitabu hiki kuna taarifa za maandishi mengi ya Yusuf Ulenge, vikiwemo vitabu alivyochapisha na vingine alivyopangia kuchapisha. Mzee Yusuf Ulenge alifariki tarehe 16 Desemba, 2002. Endelea kusoma... "Barua za Shaaban Robert" (bofya hapa) Hii ni tahadhari iliyotolewa na watu wanaoishi maeneo ya Wuhan kuwataka Watanzania popote walipo nchini China hasa kwenye mji wa Wuhan kuchukua hadhari za lazima ili kuepuka hatari. Shukran kwa "Mzalendo" aliyeona vyema kusambaza ujumbe huu muhimu. Wakuu kipindi tunaelekea mwisho wa mwaka kuna matukio mengi mno yanatokea hapa Uchina hususan Wuhan, ingawa kwa wengi wetu tunaweza kudhani kuwa Uchina hakuna uporaji, maharamia n.k.; Si kweli ila ni kutokana na mazingira ambayo tunaishi hatujawa "exposed" sana kuweza kujua haya mambo, ila ukweli ni kuwa China kuna kila ushenzi kama mahali popote pale duniani. Katika siku hizi za karibuni kwa wale wafuatiliaji mtakuwa mmejionea matukio kadhaa, mfano:
Hayo ni yale ambayo tumeyasikia au kuyashuhudia, kwa wale wanaojichanganya na Wachina watakuwa tayari washataarifiwa hilo kwani siku hizi hii ni mada moto. Sasa binafsi ninakushauri yafuatayo:
Niishie hapa, haya niliyoyasema ni kwa ajili ya usalama wa wote na ni maono binafsi. Mnakumbuka tukio lililomtokea jamaa wa Rwanda (Burundi) mwaka jana. Shime mjilinde! Leo nitajaribu kuelezea maradhi makubwa yanayo tusumbua wanadamu wengi kwenye nafsi zetu. Binadamu tunaye adui mkubwa kabisa ambaye tunaishi naye, tunatembea naye na tunalala naye na kushauriana naye kila kukicha. Adui huyu si mwingine ila nafsi zetu wenyewe, hii ni nafsi iliyojaa uadui uwovu na majivuno yakiambatana na kiburi na kutafuta kukomoana, pasipo sababu za maana. Hakuna tabia mbaya katika tabia za binadamu na yenye kuchukiwa kama tabia hii**. Tabia hizi kama zikimea kwenye nafsi zetu basi uondoa mfungamano wa kirafiki na kindugu na hata majadiliano yetu hukosa busara na hikma kiasi cha kupelekea kwenye utengano na uhasama. Mwenye hizi tabia usababisha kufungulia madirisha na milango ya kuchukiwa na watu. Japokuwa kila mtu anatarajia apendwe na aheshimiwe na wengine, ndivyo hivyo hivyo, mtu huyo anategemewa awapende na ahifadhi heshima za wengine pia. Na ajiepushe kabisa na kila jambo linalokwenda kinyume na maingiliano mazuri au yanaosababisha kuharibika kwa maelewano na wengine. Naweza kuuhita ugonjwa huu kwa jina la maradhi ya kimaadili yanayompata mtu, maradhi haya ya chuki na uadui ni miongoni mwa maafa makubwa ya ufanisi na utulivu wa nafsi, yanaotokana na tabia mbaya ya hasira ya kushindwa katika medani ya kutafuta maisha au kushindwa kwako katika kile unachokitafuta katika kuboresha maisha yako, kiasi ya kuvuruga mtiririko wa fikra chanya na kupelekea kuvuruga uthabiti wa kiroho wa mtu. Huenda ni kutokana na sababu Fulani fulani za kukosea hapa na pale au kujaribu hiki na kile. Kushindwa uku umfanya muhusika kupata hamaki na kujichukia na kupelekea kuwachukia wale waliofanikiwa kimaisha, kiasi ya kwamba kwa wale wasio na uvumilivu uamua kuwasingizia mambo haya na yale wale wanao waona kuwa ni maadui zao. Kiasi ya kusahau kuwa kufanikiwa au kuto fanikia ni mipango yako tu kutokuwa mizuri au kwa kutaka kutumia njia ambazo si za kimaadili, kama vile wizi au utapeli. Hamaki hizi ni ile chuki iliyojengeka muda mrefu kiasi cha kusababisha moto uliofunikwa chini ya majivu ambao unaweza kutoa cheche za chuki na uadui zitakazounguza na kuteketeza mazao ya ufanisi na utulivu wa nafsi yako. Bila shaka kutozijali hisia za watu huleta matokeo mabaya ya kudharauliwa na wengine na kuonekana ni mtu duni usiyefaa katika jamii za watu wastaarabu na wasomi. Kama vile ambavyo kusamehe kunaonyesha utukufu na umakini wa nafsi ya mtu pia kunaleta usalama na umoja na utulivu wa nafsi, vivyo hivyo, uadui na uhasama kunapelekea kuwa na, chuki ambayo uzaa chanzo cha mfarakano na ugomvi. Ingawa uhasama hufanywa ili kutuliza misukosuko ya ndani ya nafsi, lakini madhara anayopata mtu kwa kulipiza ubaya kwa ubaya huwa ni makubwa zaidi kuliko madhara anayopata kwa njia nyingine, kwani maudhi licha ya kuwa ni shida kuvumilia, mwisho wake uondoka, lakini uhasama unapoota mizizi huchoma moyo wa mtu kama miba ya sumu na humkera daima. Isitoshe, uadui hauwezi kuondoa ubaya. Bali hulipanua na kulichimba zaidi donda. Kwa kawaida, uhasama humfanya hasimu ajitetee zaidi na alipize kisasi zaidi, akitegemea kupata utulivu wa nafsi, kumbe ndio anajirimbikizia machungu ambayo umletea maradhi ya saratani ya akili na kupelekea kuwa na maamuzi yasiofaa na yaliojaa visasi na chuki. Wakati mwingine matokeo ya uadui huwa machungu mno kwa kadiri kwamba huwa hayumkiniki kurekebisha uharibifu unaotokana nao. Huenda mtu katika umri wake wote akaungua moyoni mwake na akaitesa roho yake kutokana na kosa kubwa alilofanya la kuweka chuki. Kutotumia akili na kutofikiria matokeo mabaya ya kufanya ugomvi, akifikiria kwamba anamkomoa mtu kumbe anajikomoa mwenyewe. Maana kila binadamu ana kamusi ya maisha yake na kuna baadhi ya watu, hawana maneno kama vile 'samehe au upendo' kabisa, bali kuna maneno kama vile 'uadui, ugomvi, nitamkomoa, atajuta katika maisha, ataipatapata fresh' na mishabaha na minyambuliko yake ndiyo iliyojaa humo. Kinyongo na hasira kali hutumia nguvu zote katika kulipiza kisasi na kujenga chuki kati ya watu. Tabia ya kupandwa na hasira haraka huandalia uwanja wa chuki. Mtu mwenye moyo dhaifu na mwepesi wa kuhamaki havumilii kusikia akikosolewa au akichambuliwa hata kidogo. Kinyume chake, watu wenye nyoyo safi na madhubuti huchukulia kukosolewa na kuchambuliwa kwao kuwa ni fursa nzuri ya kujirekebisha. Watu wengi wanashindwa kuelewa kwamba kushikwa na hasira sana ni dalili ya kutopevuka kiakili, kwani huenda mtu anayekosoa huwa hana nia ya kumtukana au kumdharau mwenzake mwenye moyo dhaifu na mwepesi wa kukasirika. Hata kama kitendo hicho kitaonekana ni cha kutukana na kudharau, lakini huenda hakukusudia hivyo. Kwa hivyo, hakuna haja ya kuudhika na kulalamika. Uchambuzi uliokusudiwa kuudhi na kudharau, kama una ukweli na unaonyesha kosa lenyewe, basi huwa ni zinduo na funzo kwa mwenye akili badala ya kuwa chukio. Lakini uchambuzi usiokuwa na msingi na ukweli usitiwe maanani, kwani unatokana na husuda na ubaya. Kitendo cha kuchambua bila ya msingi wowote ni kitendo cha kitoto, kichuki na kiwivu chenye lengo la kujitukuza kwa kuwadharau wengine. Hata hivyo, tusikereke na watu kama hao, bali tuwafunike kwa shuka ya amani na upendo. Moyo wa kuweka kisasi na kukomoana ni dalili ya unyonge wa nafsi. Na ni ishara ya maudhi na maonevu aliyoyapata mtu udogoni mwake aidha shuleni, mtaani kwake alipokuwa akiishi au aliyo yaona katika familia au wazazi wake. Mambo haya huweka athari mbaya na kinyongo katika moyo wake kwa kadiri kwamba nafsi yake husumbuliwa na aina moja ya chuki iliyotia fora. Kwa ufupi, kukomoana na kulipiza kisasi ni njia mojawapo wanayoitumia wenye kujihisi duni ili kufidia kushindwa kwao. Hutumia visingizio mbalimbali kuwakera wengine na utenda uhalifu wa hatari kulipiza kisasi kwa yale yaliomsibu alipokuwa mdogo, akitafuta kujifariji ukubwani kwa masahibu ya utotoni. Watu wa aina hii mara nyingi wanakuwa wamelelewa katika koo duni na wakapata vyeo au kusafiri nchi za mbali na kujiona kuwa wao ni bora, hivyo kupelekea kuwa wajeuri. Kwa njia hii hutaka kufidia uduni waliolelewa nao katika koo hizo. Na ujiona ni watu bora kuliko wengine, na hutaka kutumia uhasidi na ubinafsi wao kujitangazia ubora wao. Wengi wetu tunaweza kuwatambua watu wa aina hii miongoni mwetu. Njia mojawapo ya kuishi kwa amani ni kuwa na utulivu wa moyo na kusahau mabaya ya watu uku ukuzingatia shabaha ya maisha kwa kujaribu au kujitahidi kuishi kwa roho safi na huyapuuza mabaya na upinzani wa kiadui anaokutana nao mtu. Kila binadamu ana hiari ya kudhibiti taathira ya ubaya katika roho yake, vile vile anao uwezo wa kubadilisha jambo baya kuwa zuri au fikra mbaya kwa fikra nzuri na kujibu ubaya kwa uzuri. Kwa hivyo, tunaweza kupunguza nguvu za taathira mbalimbali juu ya fikra zetu kwa kutegemea nguvu za matakwa yetu, na kwa njia hiyo tukapata nguvu za kutosha kuweza kuvunja hisia ya chuki ambayo huzisumbua roho zetu. Hakuna mtu atakayeweza kutusaidia tutakapo shindwa kutekeleza wajibu wetu zaidi ya mtu binafsi mwenyewe. Kukomoana na kuzushiana mambo yasio mazuri, kama vile vifo au uhalifu ni mambo ambayo si katika ubinadamu, watu wa namna hii ujificha katika ngozi tofauti tofauti. Baadhi ya watu huvaa ngozi za urafiki au uswahiba au kujionesha kuwa ni mpenda dini na haswa hizi zama za utumiaji wa mitandao, watu uweza kukuomba urafiki na kuwaongeza kwenye orodha ya watu utakaokuwa ukiwasiliana nao au wengine ujitia kwenye siasa na kujifanya kuwa wao ni wapinzani, kumbe ni wanafiki na kuchukuwa siri za wengine kisha kuwachongea na kwa njia hii wanaweza kuwakomoa au kuwaangamiza wengine kisiasa au kiuchumi na katika jamii kuonekana kama ni wasaliti. Niliwahi kusoma sehemu zamani kuwa: “Chuki na uadui ni matokeo ya upumbavu hasa panapokosekana sababu maalumu. Tunaweza kuyatatua mambo mengi kwa urafiki, lakini ubinafsi hautuachii. Hutokea mara nyingine tukavunja urafiki kwa sababu ya adha ndogo kabisa, wakati tunaelewa kwamba kosa lao ni kuwa na imani tofauti na yetu au wakati mwingie wanaunga mkono fikra tofauti na sisi. Kwa kweli, tunashindwa vipi kuvumiliana katika mustakabari wa maisha yetu na hali sote tuna haki ya kuamini na kufuata fikra tunazo amini kuwa zitatukomboa kimaisha...!?” Watu hawa wapo tayari kupoteza muda na wakati wao na nguvu zao katika kujitengenezea maadui, uku wakijikomba kwa watu (matajiri, watawala au wanasiasa) wanao amini kuwa wanaweza kuwasaidia katika kutatua maisha yao waliyo yaharibu kwa uhalifu wao. Hali hii uendelea mpaka pale hasidi huyu atakapo fanikiwa, ingawa ni mara chache sana kufanikiwa, lakini hata atakapo fanikiwa hakumpi utulivu wowote wa nafsi na matokeo yake umpelekea kutafuta adui mwingine na mwingine mpaka kumpelekea kupata maradhi mabaya ya nafsi na kuanguka kwa aibu. Wengi wetu tunashindwa kuelewa kuwa mapenzi ya kijamii ni sababu muhimu kabisa ya mtu kupata maendeleo na mafanikio mazuri katika maisha yake. Mtu mwenye mapenzi na watu akaishi kwa wema na upendo kiasi ndio zikawa sifa zake, basi mtu huyu anayeweza kutawala hata nyoyo za watu na kupanda ngazi ya maendeleo kwa kunufaika kwa msaada na ushirikiano wa jamii na kupata ufunguo wa mafanikio. Mtu mzuri kwa tabia na amali ni kama taa inayong'aa yenye kuongoza fikra na maendeleo ya jamii. Usafi wake wa moyo una taathira kubwa katika muundo wa maadili ya watu. Kwa kuwa kijicho kina sura mbaya, hivyo hujitangaza chenyewe kuwa ni adui wa tabia na sifa nzuri na kizuizi kati ya watu. Kijicho hakimpi mtu fursa ya kupendwa na watu anao ingiliana nao. Hivyo, mwenye kijicho hukosa fursa za ushirikiano na neema ya mapenzi. Hasidi huonyesha waziwazi ubaya wake unaotokana na vitendo vya tabia yake mbaya, na kwa sababu hiyo hulaaniwa na huchukiwa sana na watu. Na kupelekea kupata huzuni ambazo huingia moyoni mwake kutokana na uhasidi wake, kiasi huikandamiza roho yake katika moto mkali na kuteketeza maisha yake. Siku zote moyo wa mwenye wivu, husda na roho mbaya, daima uona uchungu na uwa hauna raha wakati wowote. Kwa sababu anaishi kinyume na imani yake, kwa sababu ya kuikataa neema za Mwenyezi Mungu hambazo hazina kikomo, hivyo uishi kwa mashaka na wasiwasi kwa sababu hiyo zile kutu za huzuni huwa haziwezi kutoka kabisa katika moyo wake mpaka anaingia kaburini. Hali hii ya uhasidi ikishamiri katika jamii, basi upelekea migogoro na ugomvi wa kila aina. Mazingira kama hayo yanayochafuliwa na ugonjwa wa chuki na roho mbaya ya uhasidi huwa ni kizuizi mbele ya maendeleo si ya mtu mmoja mmoja tu, bali jamii kwa ujumla, hivyo kuvuruga nidhamu ambayo ni kiini cha maendeleo ya watu na kusababisha maanagamizi ya jamii hiyo akiwemo hasidi mwenyewe. Kila mtu au binadamu ana haki ya kuheshimiwa katika jamii kwa kadiri ya heshima na hadhi yake. Mtu anayejifunga katika kuta nne za majivuno na nafsi yake ikatawaliwa na chuki, hatajali kamwe kuwaaribia wengine isipokuwa atazingatia matakwa yake tu. Kwa hivyo, atajaribu kwa nguvu zote kuwaudhi na kuwakera wengine na kujifanya mashuhuri na msifiwa, na kuilazimisha jamii imuone yeye ni bora. Dhana mbaya ni athari isiyozuilika katika nafsi ya hasidi. Miali ya moto ya mwenye dhana mbaya ya kujiona daima huwaka na huwadhania wote kuwa ni wenye kumchukia na kumtakia mabaya. Kudharauliwa kwake na kupata mapigo ya daima kutokana na maringo yake hakumsahaulishi kamwe ubaya wake. Bali uendelea kutafuta mbinu hizi na zile kiasi ya kwamba kichwa chake husumbuliwa na fikra zake bila ya mwenyewe kutaka. Na kila akipata fursa hutaka kuifanyia chuki jamii, na uwa hawezi kuona raha madhali machafuko na machemko ya ndani mwake hayajatulia. Kirusi cha majivuno na maringo hutokeza katika dhamiri ya mtu baada ya kuugua maradhi ya kinafsi ya kujihisi duni. Maradhi hayo hugeuka kuwa kirusi duni ambacho kwa sababu ya kuwa kiharibifu na chauma, huenda kikawa ni chanzo cha hatari nyingi na uhalifu wa kila aina. Kirusi hiki duni humfanya mwenye kujinata afanye ukatili na udhalimu. Mtu mwenye thamani na hadhi ya kweli hatakuwa na haja ya kujivuna au kujionyesha mbele ya watu wakati wowote ule, kwa sababu anaelewa vyema kwamba kujiona si msingi wa ubora, na roho mbaya haimfai mtu yeyote wala haimfikishi mtu yeyote kwenye kilele cha utukufu na ufakhari. Basi nadiriki kusema kwamba, kumdharau mtu mpumbavu na kujiepusha na marumbano yasio na tija ni fimbo tosha kabisa, kwa sababu ukiingia wenye marumbano na mtu mpumbavu atakushusha hadi ufikie upeo wake wa kufikiri kijinga na kipumbavu, na kisha atataka kukugaragaza kwa upumbavu wake, na kwa sababu hana hoja, mwishoni utashindwa kuendelea naye... Lakini ukiingia kwenye marumbano ya hoja dhidi ya wasomi, ukiwashinda au wakikushinda basi utafaidika kwa elimu yao, kwa sababu wana upeo unao lingana na wewe, na hapo lazima utaondoka na faida japo mbili au tatu. Siri moja kubwa sana ya kumuumiza mtu mpumbavu kisaikolojia ni kumdharau na kumfanya kama hayupo, yeye mwenyewe ndio atakuwa akiangaika, maana hajui umeuchukuliaje upumbavu wake. Kila mtu ana mwendo wake maalumu unaotokana na hali yake ya kimaadili na kinafsi. Msamaha ni mojawapo kati ya sura angavu kabisa ya utukufu na udhibiti wa nafsi, na ni aina moja ya ushujaa na uungwana. Mwenye kuwa na sifa hiyo kwa kadiri ya kutosha na mbali ya kuwa na nguvu na uwezo wa kulipiza lakini akasamehe, hufaidika kwa kuwa na uhakika na usafi wa moyo ambao hauwezi kulinganishwa na kitu chochote kingine. Kusamehe kunaitukuza na kuiimarisha roho ya mtu, na ni kipawa ambacho kwacho hububujika upole na wema. Kusamehe humtoa mtu kwenye kifungo cha ubinafsi. Ingawa ni shida sana kusahau madhara na mabaya ya wengine na moyo huumia sana mwanzoni, lakini kwa kadiri mtu atakavyovumilia katika njia hiyo ndivyo atakavyoweza kupunguza sana masumbufu yake ya rohoni na mwisho wake akawa ni mtu msamehevu na aliye bora kabisa katika jamii. Hapana shaka kwamba kusamehe kunaweka athari nzuri katika moyo wa adui kwa kadiri kwamba uweza kuleta mabadiliko katika fikra na mwendo wake. Chuki nyingi zimeondoshwa kwa kusamehe, na uadui mkali na wa kizamani umeondoshwa na mahali pake kukaa usafi wa moyo na upendo. Adui mchokozi hulainika na husalimu amri mbele ya mtu aliyejizatiti kwa silaha hii kali na kwa fikra za kiungwana. Jambo la kuzingatia: “Kimojawapo kati ya vipawa vikubwa kabisa vya binadamu ambavyo wanyama wengine hawakufaidika navyo ni hisia ya kusamehe makosa ya wengine. Mtu anayekuudhi huwa kwa wakati huohuo hukupa fursa nzuri ya kumsamehe na kuona utamu wake. Tumefunzwa kuwasamehe maadui zetu lakini hatukuambiwa tusiwasamehe marafiki zetu. Hivyo, ni wazi kwamba ni lazima tusahau mabaya tuliyotendewa na wengine. Unapomlipizia kisasi adui wako huwa ni sawa naye, lakini unapomsamehe wewe huwa ni bora kuliko yeye, kwani yeye huwa ni mwovu, nawe huwa ni msamehevu. Huenda tusifanikiwe tunapotaka kulipiza kisasi, lakini kusamehe ni njia bora kabisa ya kulipiza kisasi. Kwa kusamehe tunaweza kuwashinda maadui zetu bila ya kupigana na kuwafanya wainamishe vichwa vyao mbele ya utukufu wetu. Kwa hivyo, kuacha chuki na kukwepa uadui ni shambulio kubwa kabisa lenye kuwashinda mahasimu wetu. Tunapotendewa maovu, tuwatendee mema, kwani kulipa mema kwa mabaya uliyofanyiwa ni siasa ambayo kwayo hupatikana amani duniani.” (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯) Best and Worst foods for your digestion 27/11/2011
![]() image: healthdoctrine.com When it comes to digestion, not all foods are created equal. Some can be more of a hindrance than a help to our digestive systems. Here are some common culprits behind excess wind, indigestion, constipation and bloating, with a few tips on how to improve your overall digestive health. Fatty foods Eating fatty and fried foods on a regular basis can challenge the hardiest of digestive systems, as they take longer to digest. Eating too much or too often can lead to stomach pain and heart burn. If you are already susceptible to heartburn, you may want to avoid them altogether. Give your gut a chance, by grilling foods rather than frying them, use vegetable oils for cooking, and choose low-fat dairy products whenever you can. Spices Indian, Chinese and Thai food is popular, with good reason - it tastes great, thanks in part to the clever use of spices. Although some are able to eat any amount of spicy food, for others it can cause indigestion, heartburn and diarrhoea, especially after a large meal. Acidic foods Acidic foods such as tomatoes, citrus fruits or fruit juices, salad dressings and vinegars are not for everyone. In those who are sensitive, they can cause heartburn or an upset stomach. Caffeine containing drinks such as tea, coffee and cola are also acidic, and should be kept to a minimum if you have a sensitive stomach. Try herbal teas instead. Alcohol In the short-term, drinking too much alcohol can lead to heartburn, stomach pain, nausea and vomiting; in the long-term, drinking over the limit can damage the oesophagus, stomach, pancreas, liver and intestine. For low risk drinking, stick to the recommended limits; these are no more than 21 units of alcohol a week for a man, and 14 units a week for a woman. Men are also strongly advised to drink no more than 3-4 units, and women no more than 2-3 units of alcohol a day. Sorbitol Used as an artificial sweetener in some diet foods and chewing gum, sorbitol also occurs naturally in prunes, apples and peaches. However, for some it can cause stomach cramps, wind and diarrhoea. ![]() image: media7.onsugar.com What's good for digestion?
If you think a particular food is causing problems, keep a food diary and then take it to your doctor. Note down what you eat, when you eat it and any symptoms that occur afterwards. You should never exclude an entire food group from your diet as it can leave your body deprived of essential nutrients, and may make you feel worse than before. Gut week 2011 (22-28 August) via www.loveyourgut.com Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia 24/11/2011
Baadhi yetu tuliosoma shule za Msingi Tanzania tunazikumbuka hadithi za vitabu tulivyokuwa tukijifunzia kusoma, kuandika, hesabu, sayansi, sayansi kimu, historia, ufundi, ushoni, upishi na maarifa kem kem. Mojawapo ni hili la ushairi wenye sifa zilizojaa kila aina ya funzo! Namshukuru mjomba "CocoBeach" aliyetuma katika email, nimeona vyema kushiriki na wasomaji wavuti. Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia, Hadithi uliyongoja, leo ninakuletea, Alitoka siku moja, njaa aliposikia, Njaa aliposikia, Sungura nakuambia Siku ile akaenda, Porini kutembelea, Akayaona matunda, mtini yameenea, Sungura akayapenda, mtini akasogea, Mtini akasogea, Sungura nakuambia. Sungura karukaruka, lakini hakufikia, Matunda hakuyashika, mikononi hakutia, Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua, Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia. Mtazame hapo juu Sungura amelegea, Mtazame na miguu, matunda anarukia, Atafanya sikukuu, matunda akifikia, Matunda akifikia, Sungura nakuambia. Karuka tena karuka, matunda akarukia, Mwisho wake akachoka, kachoka hata mkia, Penye mti akatoka, pembeni akasogea, Pembeni akasogea, Sungura nakuambia. “Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia, “Naona nafanya kazi, bila faida kujua”, Yakamtoka machozi matunda akalilia, Matunda akalilia, Sungura nakuambia. Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia, Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia Tunajua hakufika, alichoka kurukia, Alichoka kurukia, Sungura nakuambia. Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia, Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta, Usikose kujikaza, mazuri kukazania, Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi Ama kwa hakika, ya kale dhahabu! Shukrani "credits" zote zirudi kwa mtunzi na mchapishaji wa shairi (ijapokuwa sijapata idhini ya maandishi ya kutumia katika wavuti, sifanyi hivi kwa sababu ya kupata faida yoyote wala biashara, bali kuelimisha). The 10 Rules of Effortless Parenting 20/11/2011
Post written by Leo Babauta (cross-posted from his blog - Zen Habits) I often get asked how I can do so much while having six kids. My short answer, and all you really need to know, is my wife Eva is awesome. I couldn’t do half what I do without her. She is the reason Zen Habits is able to exist. And so if you want parenting advice, you’d be smart to ask her. She doesn’t, however, have a blog. And so I’ll share some things that we both do that make our jobs as parents easier. These are Very Important Rules that must never be broken by any Serious Parent … until, of course, you want to break them. The first rule of Rules of Effortless Parenting is that you should always break rules. Rules of Effortless ParentingThere is really only one rule: Love Them. But you already knew that one, so let’s get into details:
| Vitabu vya WatanzaniaBofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala
Yaliyomo/CategoriesAll Hifadhi/ArchivesFebruary 2012 |













RSS Feed