Ilikuwa siku siku ya kutabasamu baada ya kuweza kuona tovuti ya TBC mtandaoni.
Ni matumaini yangu kuwa mwanzo huu mzuri utaendelezwa na kuifanya TBC kuwa kitovu kizuri cha habari za ndani na nje ya Tanzania ili kuitangaza nchi yetu katika anga za Kimataifa.
Unaweza kubofya picha hapo na itakupeleka moja kwa moja kwenye tovuti ya TBC ambayo anwani yake ni http://www.tbc.go.tz
Hongera timu nzima ya TBC kwa kuanzisha kwa vitendo jukumu hili!
Picture
muonekano wa tovuti ya TBC tarehe 27 oktoba 2009
 


Comments

27/10/2009 20:04

Nisemeje?
HONGERA DADA
Hatua nyingine hii nasi tuko nyuma twafuata.
Blessings

Reply
Albert
28/10/2009 04:01


Da' SUBI NIMEJARIBU KUINGIA WEB YA TBC, NIKAPATA JIBU HILI:
Bandwidth Limit Exceeded
The server is temporarily unable to service your request due to the site owner reaching his/her bandwidth limit. Please try again later.
--------------------------------------------------------------------------------

Apache/2.2.11 (Unix) mod_ssl/2.2.11 OpenSSL/0.9.8i DAV/2 mod_auth_passthrough/2.1 mod_bwlimited/1.4 FrontPage/5.0.2.2635 Server at www.tbc.go.tz Port 80

Reply
Hehe
28/10/2009 04:27

Bandwidth Limit Exceeded
The server is temporarily unable to service your request due to the site owner reaching his/her bandwidth limit. Please try again later.
Apache/2.2.11 (Unix) mod_ssl/2.2.11 OpenSSL/0.9.8i DAV/2 mod_auth_passthrough/2.1 mod_bwlimited/1.4 FrontPage/5.0.2.2635 Server at www.tbc.go.tz Port 80

Reply
Wavuti
28/10/2009 07:10

Poleni kwa usumbufu huo.
Pengine TBC walikuwa wana-bip sasa hawakujua kama watu wameweka dola full day watawapigia... teh teh, natumai watarekebisha na kununua ukubwa wa kutosha kuendana na jamii wanayoihudumia.
C'mon TBC do something please!

Reply
28/10/2009 07:27

Da Subi hongera kwa tovuti yenye jina jipya. Nzuri sana na wewe kweli uko juu nasi siku zote tunajifunza kutoka kwako.
Endelea kutuwakilisha Subi wangu!

Reply
Richard.
11/06/2010 01:19

Hongera Tbc kwa mambo makubwa mnayoyafanya ila cha kusikitisha metudanganganya kwamba tutaona kombe la dunia bila ya decoda lakini huku arusha mtambo umeshakatwa hakuna tena mawasilino tangu juzi decoda zenyewe kiduchu hazitoshi inaa maana leo sioni ufunguzi?Tido mhando vipi tena wachina wanaharibu mambo sasa,Marine Hassan tusaidie kwa hilo au mnataka nikaangalie bmpira bar niache familia nyumbani?.richard Arusha.

Reply



Leave a Reply