Hiki ni kipande tu cha aliyoyasema Dk. Harrison Mwakyembe alipozungumza na waandishi wa habari 28 Oktoba 2009 na kuwapa changamoto kuhusu uandishi tafiti na kufichua habari mbalimbali.
Namshukuru sana Dr. Kiva kwa kukubali usumbufu wangu wa kumwoba kurekodi na kunitumia audio hii nami niiweke mtandaoni walao watu wengi waweze kusikia ya hapa na pale yanayosemwa na wabunge, wawakilishi na viongozi wa wananchi Tanzania.
Unaweza kusikiliza audio clip katika ukurasa wa 'Redio' sehemu ya 'TBC1 Redio Tanzania'.