
mfano wa panels za umeme jua
Mdau na rafki yangu anaomba mawasiliano yoyote ya Kampuni, Kikundi au Watu wanajishughulisha na nishati ya umeme itokanayo na jua nchini Tanzania hasa katika mkoa wa Dar Es Salaam.
Shukran!
Mdau mmoja wa kundi pepe fulani ametoa mawasiliano haya:
Francis wa Rex Investment, the owner; 0713607533