Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Dr. John Pombe Magufuri, akipongezana na Dr. John Stanslaus Nduguru ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma ya Ufundi katika Wizara ya Miundombinu, wakipongezana baada ya kuhitimu kozi ya PhD katika mahafali yaliyofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Picha na maelezo ni kwa mujibu wa tovuti ya PwaniRaha.com