Yapo matumaini baada ya kujiuliza mara kadhaa ikiwa kweli sekta ya utalii inayapa kipaumbele mashindano ya kombe la mpira wa miguu litakalofanyika Afrika Kusini hapo mwezi Juni mwaka huu. Video iliyotengenezwa na Akon iligusa zaidi nyoyo zetu katika suala la utalii kama tulivyouliza kwenye posti iliyopita (bofya kuisoma). Hatimaye mwandishi Apolinari Tairo anairipotia eTN kuwa: ...in kicking off the campaign, the Tanzania Tourist Board (TTB) has organized and invited 28 travel and tourism executives from leading South African tourist companies to visit Tanzania’s key sites to assess the available tourist attractions and services being offered to the foreign visitors. During their stay in Tanzania, the South Africans took an educational tour in northern Tanzania’s tourist circuit including the Ngorongoro Crater, Serengeti, and Lake Manyara wildlife parks... Other than the wildlife parks, the delegation viewed Mount Kilimanjaro and visited Mazimbu and Dakawa areas in Morogoro region... Tanzanian and South African governments are negotiating the best options to make these two places tourist sites. ...the South African tourist executives vowed to promote tour packages to Tanzania during the World Cup event by encouraging sports fans and other stakeholders to visit Tanzania and experience its unique attractions including Zanzibar Island, Selous Game Reserve, Kilwa Ruins, and Kondoa Irangi, apart from northern wildlife parks. In order for this campaign to succeed, the Tanzania Tourist Board has teamed up with South African Airways (SAA), looking for more seats or added daily flights between Johannesburg and Tanzanian airports so as to ensure that every tourist from South Africa can fly to Tanzania. Habari kamili: www.eturbonews.com/14583/tanzania-campaigns-woo-world-cup-2010-tourists CommentsLeave a Reply | Vitabu vya WatanzaniaBofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala
Yaliyomo/CategoriesAll Hifadhi/ArchivesFebruary 2012 |






RSS Feed