Matokeo kidato cha nne 2009 02/06/2010
![]() Hongera kwa wote waliopiga hatua kimasomo na kumaliza elimu ya kidato cha nne mwaka 2009. Unaweza kutizama matokeo ya mtihani wa Taifa kuhitimu katika ngazi hiyo ya elimu kwa njia mbili. Moja ni kwa kutumia tovuti na nyingine ni kwa kutumia simu kwa wateja wa VodaCom pekee. Bofya kujaribu kati ya linki zifuatazo:
Tumia simu ya mteja wa VodaCom. Tuma ujumbe mfupi wa maneno (sms) kwenda 15311 yenye message: MatokeoXcentreXcandno Badili neno 'centre' na uandike jina la shule/kituo ulichofanyia mtihani Badili neno 'candno' na uandike namba ya mtahiniwa Kwa mfano: MatokeoXS0452X0203 Shukrani zimwendee Augsustine Maguta aliyetushirikisha njia mbadala. ANGALIZO Ikiwa namba ya kituo ulichofanyia mtihani namba zake zina tarakimu chini ya nne, unahitaji kubandika tu tarakimu hizo bila kutanguliza sifuri. Kwa mfano: Namba ya shule/kituo ni S0012 na namba ya mtahiniwa ni 45 basi andika MatokeoXS12X45 Huduma zilizotajwa hapo juu kwa ajili ya matokeo haya hazitatozwa fedha yoyote ile. ILANI Tovuti ya matokeo inaweza kutokuwa hewani (off line due to bandwidth limit) kutokana na kuzidiwa na wingi wa watu wanaotaka kuona matokeo. Hilo ni suala la IT wanaohusika na wizara hiyo wanaweza kulirekebisha. Ufikwapo na hali hiyo, pole kwa usumbufu huo, ndivyo Wizara zetu za Serikali zilivyo na bandwidth ndogo il hali uhitaji ni mkubwa, hasa kwa tovuti hii ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa miaka mitatu mfululizo kwa tatizo hili hili, sifahamu mkakati wao wa kulitatua tatizo hili. CommentsHugo Sun, 07 Feb 2010 04:13:31 safi sana na thanx kwa kuweka link hapo. nilikuwa natafuta haya matokeo kwenye site ya necta sijui ni kimeo, inaniambia record hazipo.. Sun, 07 Feb 2010 06:46:03 Hugo, emmanuel samwel Mon, 08 Feb 2010 11:24:38 Dah hiyo link yako imetulia kinyama na iko very faste ni kubofya tu na kupata tokeo dahh uko juu sana mzee Mon, 08 Feb 2010 14:38:43 Pia yanapatikana hapa: Mon, 08 Feb 2010 22:44:01 Brian Sterr, ahamadi lalikila Tue, 09 Feb 2010 01:33:26 TAMOTA Tue, 09 Feb 2010 04:14:42 calvin nimrod oshorael some Tue, 23 Feb 2010 02:14:05 Leave a Reply |