Picture
Tafadhali maofisi husika na watoa huduma bila kujali kama ni sekretari, muuguzi, daktari, injinia, postamasta, dereva, utingo, tandiboi, muuza nguo, mama ntilie, baba lishe na kazalika, end of thinking kapasiti, tafadhali sana heshimuni kazi, wajibu wenu na ofisi zenu. Tusizinguane bila sababu ya msingi!
Nasi 'wadau' tukiyaona haya ya 'ndivyo sivyo' tuyakemee kiviiiile.
Senkyu.
 


Comments

Ali Machano Mussa
01/04/2010 11:04

haya ndio maneno kwa sababu kuna post nyeti huwa wanajiona nakujiskia lakini dawa ndio hiyo kaka alolala muamshe tu.
Thank you
Ali Diku Mussa
Nungwi zanzibar

Reply



Leave a Reply