Tafakari kwa njia ya katuni 03/07/2010
Commentsalledros Tue, 09 Mar 2010 5:58:36 pm Noooooooo! siwezi kucheka! Ni mambo ya kweli: watanzania kama samaki na kama samaki wanakaa kimya na kumezwa tu na wafisadi wanaoongezeka. Ukombozi lini? Wapi? Pongezi kwa wote wanaotumia njia hii ya cartoons kwa kujaribu kuwaamsha 'samaki', lakini wataamka? tembea kijijini na utaona ukweli wa TZ! Bahati mbaya watanunuliwa kama kawaida na kiasi cha pombe au khanga! Comments are closed. |