Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu na Kaimu Rais wa Nigeria, Dk. Goodluck Jonathan kwenye hoteli ya Transcorp Hilton jijini Abuja anakohudhuria Mkutano wa Viongozi wakuu kuhusu maendeleo ya biashara na viwanda vya kilimo barani Afrika. Alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano huo.
Picha kwa hisani ya Mroki Mroki