Picture
Jana tulisoma maandishi ya Dk. Mghanga ya alivyoikumbuka na ilivyokuwa siku aliyofariki hayati Edward Moringe Sokoine.

Kwa baadhi ya watu niliahidi kuisoma kumbukumbu hiyo na kuiweka katika sauti kwa ajili ya yeyote ambaye anapendelea kusikiliza sauti (audio) zaidi ya kusoma maandishi.

Vipo vipande viwili vya audio:
- Acapella - yaani kusoma kumbukumbu tangu mwanzo hadi mwisho bila ya kuwepo wimbo wowote.
- Musical - yaani kusoma kukiambatana na sauti ya muziki. Ndani ya audio hii zinasikikika nyimbo tatu. Katika background ni wimbo wa Enya - Adiemus na Wimbo wa Taifa ubeti wa kwanza - Mungu ibariki Afrika na kisha ubeti wa pili unasikika pekee - Mungu ibariki Tanzania, mwishoni ni Ukombozi wa Afrika utunzi wake - Patrick Balisidya.


 


Comments

13/04/2010 13:54

Subi!

U should stop being a nurse and take up journalism for real. Ur a star! This is one of the best presentations ever

Reply
13/04/2010 16:18

Naungana na Kaka Michuzi. Fani "uliyoingilia" siyo yako na kama ni yako, basi si pekee uliyonayo na uiwezayo.
"JARIBU KUFIKIRI UTAUPATA UKWELI"

Reply
13/04/2010 22:01

Loh, asante Ankal Michu na Mzee kwa kusikiliza. Kuhusu kuacha kazi, tehe, nimekusemeeni kwa bosi wangu, amesema nisikubali (lol, just kidding ha ha ha). But seriously, I appreciate your comments and compliments. Learning from you as successful blogger (Michu) and very active learning and creative blogger (Mzee Mubelwa).

Reply
Anita
13/04/2010 23:06

Subi,nakupa pongezi kwa kuwa na kumbukumbu nzuri ya kiongozi mzalendo wa nchi yetu.

Reply
Mussa Mahilya
13/04/2010 23:22

Naona utamrithi Gupta pale CNN miaka ya ijayo kama senior medical correspondent, keep it up mama

Reply
MM
13/04/2010 23:38

My dearest Subi,

I am listening, and I plan to replay it several time today. I have good comments for this wonderful creation.

As always, I appreciate you and your talents. I think we should plan to pull you out of the nursing professional so that you may have more time to work on your talents and not what you go to school for.

Bless you

Reply
Moses Ringo
14/04/2010 01:34

Subi!
Wee mubaya!
What a nice piece of work!

Reply
Hussein Kamugisha
14/04/2010 02:07

hongera kwa kazi hii iliyotukuka,

Reply
17/04/2010 18:36

Hii ndio historia inayoweza kukuna mawazo ya watanzania,wazalendo wa kweli wa nchi yetu wanavyoweza kuitunza - asante sana Subi!!
Sie wengine hatukuwepo enzi hizo!

Reply



Leave a Reply