Picture
Matokeo nimeweza kuyaona kupitia www.necta.go.tz
Zimetolewa tovuti mbadala ili kupambana na tatizo la traffic, hivyo jaribu katika mojawapo ya hizi zifuatazo:

Linki Na. 1 www.necta.go.tz/matokeo_acsee/Alevel
Linki Na. 2 admin.udsm.ac.tz/results/Alevel
Linki Na. 3 matokeo.necta.go.tz/matokeo_acsee/Alevel

Ijapokuwa katika matokeo hayo, wavulana wanaongoza katika kumi bora Kitaifa, lakini wastani wajumla unaonyesha wasichana wamefanya vyema zaidi ya wavulana.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk. Joyce Ndalichako alisema ufaulu umepungua kwa asilimia 0.78 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2009 ambapo waliofaulu ni sawa na asilimia 89.64.

Alisema watahiniwa wa shule waliofaulu ni 45,217, sawa na asilimia 93.76 ya waliofanya mtihani na watahiniwa wa kujitegemea waliofaulu ni 10,547 sawa na silimia 74.57. 

 


Comments

Reply
04/05/2010 05:05

i want ask question why zanzibar every eyear were faild the examination tha Dar - es salam whay.

kwa maoni yng naomba na hili liangaliwe kwa sababu 2naona uchungu kuona matokeo yetu ss wazanzaibar tu kila mwaka yanakuwa mabaya kwanin?

kila la kheir.

Reply
youngmilionea
23/01/2012 13:49

i lik3 ur comment mwah

Reply
23/01/2012 10:19

The gvt should focus on the society needs in education matters.

Reply
abdullah.m.makame
23/01/2012 13:52

wallah camini!!na wala haiwezekani kila mwaka znz tunaharbu sie tu!!bla shaka mnatuangusha makusudi but co vzr mkumbk mungu anawaona!!

Reply



Leave a Reply