Siku ya Jumapili, tarehe 2 Mei 2010 kipindi cha Njia Panda kinachoendeshwa na Dk. Isaac Maro na kurushwa na Radio Clouds FM kilikuwa na wageni ambao ni wanaume wanaojishughulisha na mapenzi ya jinsia moja.
Picture
Dk. Isaac Maro
Kwa ujumla kipindi kilizungumzia juu ya hali halisi ya maisha ya wanaume hawa pamoja na suala zima la kupambana na maambukizi ya VVU na UKIMWI katika jamii, hasa kwa kuwa wanaume hawa hujishughulisa na biashara ya mapenzi, kitendo ambacho ni kinyume na sheria za nchi.

Bofya kifute cha play usikilize rekodi ya kipindi hiki. Ili kupata rekodi nyingine za NjiaPanda, bofya neno 'Dk. Isaac Maro' kwenye category hapo kulia mwa ukurasa au kwenye ukurasa wa audio.


 


Comments

Ignorant
18/05/2010 05:16

Hii audio mbona inapiga muziki tu na wala sio hicho kipindi (nilibahatika kukisikiliza).

Reply
18/05/2010 13:39

@Ignorant, punguza papara. Sikiliza audio nzima upate ujumbe wote. Muziki ilikuwa sehemu ya kipindi.

Reply
18/05/2010 22:07

@Ignorant, ni kweli mziki ni sehemu ya kipindi hicho. Mimi nimesikiliza kama saa nzima hivi mahojiano hayo ya kwenye kipindi. Ni vyema ukasikilize tena ujifunze na uweze kujua nini unaweza kuisaidia jamii

MAKULILO, Jr.
www.makulilo.blogspot.com
www.scholarshipnetwork.ning.com
San Diego, CA

Reply



Leave a Reply