Picture
Picture
Picture
Photo credit: TEDxDar via VijanaFM
 


Comments

LeBron
29/05/2010 20:03

ooookay!!!...ukionyeshwa mapungufu yako huna budi kushukuru pia...japo sio zoote za ukweli,..nyingine tumeongezewa na nyingine tumepunjwa...nahisi tumepunjwa nyingi zaidi haswa kwenye stats za pili..

Reply
LeBron
29/05/2010 20:19

LE=52yrs(2009 est),estimated people living with HIV/AIDS 2,113,158,among others tulizopendelewa..we still have a long way to go..but a long journey must start with the first step..ambayo bado tunafanya upembuzi yakinifu kujua ni mguu gani tuutumie kuanza safari..mchaato umeshaanza na mzabuni ameshapatikana..tunasubiri washirika wa maendeleo watenge fungu ili tenda itangazwe..damn sie mbayuwayu!

Reply
30/05/2010 08:10

LeBron, eh, wametupunja takwimu hizo eeh? pointi nimeipata mkuu, lakini bado wapo wanaoona tumebambikizwa haya matakwimu, sijui wanaishi kipande ipi ya Tanzania walahi! Kweli sisi wa vijijini tuendelee kula magimbi yetu wacha wa mjini wale keki zao bwana tutakutana ardhini, huko nadhani ndo kwenye usawa.

Reply



Leave a Reply