Ipo herufi 'r' katikati ya 'a' na 'k' katika neno la Kiingereza, 'parking' lenye maana ya 'maegesho' kwa Kiswahili. Tutumie lugha fasaha, tusichoke kukosoana tunapokosea. Nami hukosea na hukubali kukosolewa.
Comments
Leave a Reply
Vitabu vya Watanzania
Bofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala