“Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiuun” Truly ! to Allah we belong and truly, to him we shall return”
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume (wa tano toka kushoto) akijumuika na Viongozi wengine katika swala ya Maiti ya aliyekuwa Mufti Mkuu wa Zanzibar, Marehemu Sheikh Harith Bin Khelef, katika Msikiti wa Mwembeshauri leo.