Redio za Tanzania 31/08/2010
Cross posting this from Candy1World blog whom I fully agree with here, and share the lamentations. Nimeamua kuongea kuhusu hili baada ya kuangalia CNN MultiChoice African Journalist Awards. I t is absolutely amazing seeing people making great stories, going to the source of the story, getting the untold and etc. Also the person who took the overall award of this year 2010, Sam Rogers, she was getting the story about the albino killings in Tanzania though I didn't get a chance to see the documentaryOur neighbours Kenya did well in the awards ceremony; not only Kenya but also Mozambique, South Africa and all others. When I switch on the radio and "tune", about 95% of all stations just do music. News will be read for about 5 minutes and it is done. Music is not the problem, the problem is Tanzanian radio stations [are] not interested in things happening around the world. Kama mambo yenyewe ndio hivyo, awards zitakuja kweli huku? Au ndio awards za hukuhuku za kumwaga?... Au ndio wanaona hizi redio za nje, namaanisha BBC au Deutsche Welle or VOA, wakileta habari zao ndio inatosha? I am just asking... Comments04/09/2010 5:32am
This is true. Kibaya zaidi ni kuwa hata hiyo 5% iliyobaki, hawana habari zaidi ya TAARIFA kama nilivyoandika hapa http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/09/tanzania-yangu-yenye-vyombo-vingi-vya.html.
Reply
Leave a Reply | Vitabu vya WatanzaniaBofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala
Yaliyomo/CategoriesAll Hifadhi/ArchivesFebruary 2012 |




RSS Feed