Picture
Ipo katika ujenzi. Ni barabara ya Sumbawanga-Mpanda, Rukwa. Mkandarasi amekwishaanza kazi, anatarajia kuikamilisha  ndani ya miaka mitatu. Picha imepigwa na Muhidin Sufiani.
 


Comments

Kenny
01/10/2010 10:45

Kweli, shukrani Pinda, barabara hiyo ilikuwa ni balaa!

Reply
Mtui
02/10/2010 12:51

Hapana Kenny, Sio kumshukuru Pinda. Shukuru walipa kodi. Kwani hizo hela za kodi ulitaka ziende wapi? Ina maana sehemu zote ambazo barabara hazijajengwa kwa muda mrefu will take them to have prime minister to have their road built?

Reply



Leave a Reply