"...kiti cha uspika nikiamini kwamba ninao uwezo wa kutibu majeraha makubwa yaliyoumiza Bunge na Taifa, wananchi na chama changu (CCM) kwa sababu tu ya kuwa kiongozi aliye tayari kujitafutia na kujitwalia umaarufu au ushujaa wake binafsi kwa njia ya kuwahujumu, kuwaumiza na kuwachafua wengine kwa kutengeneza tuhuma na kashifa za kila namna. Tiba ya uongozi wa aina hii ni kuchagua kiongozi bora wa bunge...."
Nukuu hii imetoka kwenye blogu ya Beda Msimbe "Lukwangule Ent"
Kwa taarifa zaidi, subiri chapisho la magazeti hapo kesho "...ya kuambiwa, changanya na yako"!


RSS Feed