
Pichani ni Fatma akiwaonesha dawa viongozi waliomtembelea nyumbani kwake ili kupata maelezo ya kina kuhusu tiba yake hiyo.
Anayeonekana pembeni yake katika picha ya kwanza ni mwandishi wa habari aliyetembelea eneo hilo leo Machi 31, akiwa na viongozi hao wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Said Mwambungu. Na picha inayofuatia Mkuu wa Wilaya akitoa msimamo wa Serikali wa kumtaka mtu huyo ajisajili na dawa yake ipimwe ionekane uzuri na ubaya wake.
Picha zinazofuatia zinawaonesha watu wakitoa fedha na kupokea 'bilauri' na kunywa kwa ajili ya 'tiba'.
credits : Juma Mtanda blog na John Nditi via Lukwangule blog






RSS Feed