Wakati hayo yakiendelea, washabiki wa Yanga wamemtaka kocha wao Sam Timbe aondoke kwa madai kuwa "ameshindwa kuwapanga wachezaji" na hivyo kusababisha kuuanza msimu vibaya.
video: Yanga wasusia jezi za mfadhili kutokana na rangi yake; Washabiki wamtaka Timbe "ale kona"23/08/2011 Yanga wamegoma kuvaa jezi zenye nembo ya mfadhili wa ligi Kuu ya Tanzania Bara, VodaCom kwa madai kuwa rangi za nembo hiyo za nyeupe na nyekundu, ni rangi za jezi za mahasimu wao, Simba SC. Wakati hayo yakiendelea, washabiki wa Yanga wamemtaka kocha wao Sam Timbe aondoke kwa madai kuwa "ameshindwa kuwapanga wachezaji" na hivyo kusababisha kuuanza msimu vibaya. Commentsjazzie 24/08/2011 05:53
hivi, wabongo huwa tunakunywa maji ya ujinga? ok, mimi ni mshabiki wa yanga, lakini katika hili viongozi wa yanga wamedhihirisha upumbuvu wao. Leave a Reply |


RSS Feed