Video ifuatayo inaonesha magoli yaliyofungwa katika mechi iliyochezwa siku ya Jumapili, Oktoba 9, 2011 nchini Morocco kati ya timu za Taifa za Tanzania na Morocco katika harakati za kuwania nafasi ya kucheza kwenye michuano ya Africa Cup of Nations 2012.
Katika mechi hii, Morocco iliifunga Tanzania 3 : 1 na kusababisha Tanzania kuyaaga mashindano hayo.