Jana siku ya Jumamosi basi New Force one lilokuwa likitokea Dar es Salaam lilipinduka, na kusababisha ajali.
Madereva wanapaswa kuwa waangalifu wakati wa 'overtaking lorries' wakati wa mvua na kwenye miteremko. (RPS)
|
|
Barabara eneo la Nyololo kilometa chache kufika Makambako, Iringa ni baya, hasa wakati wa mvua kuna utelezi sana. Jana siku ya Jumamosi basi New Force one lilokuwa likitokea Dar es Salaam lilipinduka, na kusababisha ajali. Madereva wanapaswa kuwa waangalifu wakati wa 'overtaking lorries' wakati wa mvua na kwenye miteremko. (RPS) CommentsMtanzania 29/01/2012 07:36
STK jamani mtatumaliza. mnatuua halafu kwa kutumia kodi zetu yaani pesa zetu. Haya magari ni hela zetu. Kuna ulazima wa kuwapeleka hawa madereva shule! Leave a Reply |