Wale samaki waliopotea kama vile mboju, nshonzi, mpala, ningu, nkuyu n.k, sasa waweza kuwapata toka kwa ndugu KAZAURA kwa simu namba  +255787315665.

Kilo moja ni Shilingi 6500/= 

Pia vinapatikana yakula vya asili kama viazi vikuu, kashuli n.k.

Duka lake lipo Sinza, Mori, Dar es Salaam. Wasiliana naye kwa maelezo zaidi.
Mtu ni afya. 

Tupende vya asili!
 


Comments




Leave a Reply