Picha ya chini ilipigwa siku ya maziko ya Mch. Martin Luther King Jr.
Picha zote zimepigwa na "Dewo" alipozuru jumba hilo lililopo Atlanta, Georgia, Marekani (Januari 2012).
Kwa mengi zaidi kuhusu Martin Luther King Jr, fungua tovuti iliyotengenezwa mahsusi kwa ajili yake: thekingcenter.org


RSS Feed