Viongozi hawa wenye nyadhifa tafauti nchini Tanzania wamekuwa wakitamkwa katika vyombo mbalimbali vya habari kwa namna tofauti kiasi cha kuuaminisha umma wa Watanzania kuwa wana tofauti zilizozaa makundi ndani na nje ya chama. Naam, picha hii kama wasemavyo wahenga, ni moja ila yaweza kuwa na maneno elfu!
picha via blogu ya "Kamanda wa Matukio" Richard Mwaikenda