Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika, Said Arfi, John Mrema, Profesa Mwesiga Baregu na Profesa Abdallah Safari.
Katika mkutano wa awali ambapo Rais alikutana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA, Dkt. Wilbroad Slaa hakuhudhuria.
Zifuatazo ni picha za Ikulu za mkutano wa leo. (Picha za mkutano uliotanguli aunaweza kuziona kwa kubofya hapa).
Mkutano huo ulihitimishwa saa tano na robo usiku!


RSS Feed