"Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, Dkt. Hellen Kijo-Bisimba, Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria, na Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Ananilea Nkya, wakamatwa na polisi, na sasa wanapelekwa Oysterbay Police kwa kosa la kutembelea hospitali ya Muhimbili leo, na watashitakiwa kutaka kusababisha uvunjifu wa amani...."
Na ukurasa wa twitter wa Irenei ameandika:
We are officially under police arrest. Irenei Kiria director for Sikika, Hellen Bisimba director for LHRC, Ananilea Nkya director for TAMWA
— Irenei Kiria(@Irenei2011) February 9, 2012
Taarifa za kukamatwa kwa viongozi hao ziliwafikia watu mbalimbali na baadhi yao ni Madaktari waliokuwa wakizungumza na Waziri Mkuu ambapo katika mapendekezo yao walimtaka Waziri Mkuu atoe amri ya viongozi hawa wa mashirika na asasi za kiraia, na wanaharakati waachwe huru mara moja.
Tukio la kuwakamata lilitokea katika eneo la Muhimbili.
Shukrani kwa wote #ChangeTanzania waliotuma msg email na kuratibu kuhusu kuachiwa wanaharakati. Taarifa tuliyopata wameachiwa kwa dhamana...
— Change Tanzania (@ChangeTanzania) February 9, 2012
Unaweza kufuatilia "update" status ya suala hili kupitia twitter.com/ChangeTanzania na katika tweets mbalimbali kwenye widget ya tweets za Watanzania inayoonekana kwenye ukurasa wa "habari" katika tovuti ya wavuti.com
Senior Tanzanian journalist arrested
Several hospitals have been closed during the strike by junior doctors and medical interns, which began on 30 January. They are protesting about pay and working conditions.
Some specialists have also joined the strike, and the Tanzanian government has come under mounting pressure to resolve the dispute.
The reason for Nkya's arrest remains obscure. She did make a statement yesterday about the need "to make the public disabuse themselves of the commonly held belief that prominent people care little about what is going on because they can access medical attention outside Tanzania."
But concerned supporters do not believe that to have been the reason for her detention.
via Guardian (The)
Arrested activists in Tanzania had demanded government action to resolve crisis or resign
The leaders come from LHRC, TGNP, TAMWA, NEDPHA and several other grassroots organizations. They and others were on their way to Muhimbili Hospital to await the outcome of talks which the Prime Minister was having with striking doctors.
On Wednesday 8thFebruary more than 200 activists successfully ‘occupied’ Salendar Bridge and the roads leading into it for two hours, and got major media attention and support from motorists and passersby for their action, based on the posters demanding that the Minister of Health and other top officials must resign; and protesting the failure of the President’s Office and the Parliament to give the situation priority. Countless numbers of people have died as a result of the strike.
However, as the participating organizations such as TGNP have noted, people were dying long before this strike because of the lack of adequate human, financial and material resources provided to health care at all levels.
Many of the organizations leading the protest are members of the Feminist Activist Coalition, Fem Act, including TGNP, TAMWA, LHRC, HakiElimu, SIKIKA, and NEDPHA; others belong to Policy Forum, including Policy Forum itself; and many others are grassroots organisations participating in the Gender and Development Seminar Series [GDSS].
Marjorie Mbilinyi, TGNP.


RSS Feed