Watoto wenye hemophilia walitembelea Bagamoyo hivi karibuni.

Ziara iliandaliwa na Hemophilia Society of Tanzania. 

taarifa na picha via Richard Minja, Rais wa HST. 

----
Ufunguo:
Hemophilia ni tatizo la damu kutoganda kutokana na hitilafu anayorithi mtu wakati wa kuzaliwa. Dalili zake zinazoonekana kwa macho ni pamoja na kutokwa damu mfululizo kwa muda mrefu unapotokea mchubuko, kukatwa/kujikata, kutoneshwa/jitonesha kidonda n.k. Vipimo vya maabara huthibitisha ikiwa dalili hizo ni za ugonjwa wa hemophilia ama la.
Picture
Visiting Bagamoyo acheological sites
Picture
children had opportunity to show their problem to Dr. James Rwehabura of Muhimbili Referral Hospital
 


Comments

Richard Minja
05/02/2012 21:40

Wavuti! You are real the peeoples blog. Thanks a million for this message. Keep on trumpeting for the voiceless.

Reply



Leave a Reply