Ikiwa ulipitwa kusikiliza taarifa iliyozungumzia hukumu ya kesi ya Tundu Lissu, bofya hapa kurejea toleo lililotangulia.
Picture
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki CHADEMA,Tundu Lissu, akilia muda mfupi baada ya Mahakama Kuu kanda ya Dodoma, kutupilia mbali mashitaka yaliyotolewa kupinga watokeo yaliyompa ushindi wa Ubunge.
Picture
Mbunge wa Viti maalum Kataru, Manyara, Rose Kamili (karibu na Lissu) alia pia
Picture
Lissu akifutwa machozi na mkewe (picha zote zimepigwa na Nathaniel Limu via: dewjiblog.com)
 


Comments

asali
28/04/2012 07:04

Hili la kuangusha machozi wengi hulichukulia kuwa ni udhaifu, tena unapoangusha machozi mbele ya wakubwa na wadogo zako watu hushangaa sana na kushindwa kabisa kuelewa nini maana yake. Lakini kitaalamu kuangusha machozi humaanisha mwisho wa vita moja na mwanzo wa vita nyingine. Tundu Lissu anapoangusha chozi hapa anamaanisha "even hard people do break down, and the only way too collect themselves ni kuangusha chozi" baada ya hapo unapata ujasiri ambao even a sky can not be the limit.

Heko Tundu Lissu, heko kwa ishara hii ya chozi la shujaa. Endelea kutumikia Watanzania kwa moyo safi. Ukombozi wa pili wa Taifa letu ushafika

Reply
Redio.
28/04/2012 08:22

Makamanda wa ukweli huwa hatulii. Mgeshi hutakiwi kulia bana.

Reply
bashir
07/05/2012 12:09

watu wanafiki sana, pinda alilia walimwita eti kiongozi hutakiwi kulia, leo lisu analia wanasema ni jasiri, acheni unafiki, ila mkitaka somo kwanin watu hulia nipo tayari kutoa somo

Reply

Your comment will be posted after it is approved.


Leave a Reply