Kama unatumia internet kupiga simu, ukisoma na kulinganisha gharama za kupiga simu mathalani kutoka ng’ambo/ughaibuni kwenda kwenye simu za landline au mobile kokote (mfano Tanzania), DialNow ndiyo wenye kutoza nafuu. Gharama zao kwenda mobile phones kwa sasa ni $0.054 (call na text).

  1. Unaweza kutizama gharama na ku-install kwenye computer yako kupitia tovuti yao ya DialNow.com
  2. Unaweza kupiga/text kutoka kwenye mobile/tablet kwa ku-install app inayopatikana mobilevoip.com 
  3. Unaweza kutizama gharama mara kwa mara kila unapotaka kupiga simu kwa kulinganisha tozo za VoIP kadhaa kwa kutumia tovuti ya progx.ch/home-voip-prixbetamax... mfano ni unavyoonekana kwenye screen-shots hapa.

 


Comments

Josh Lila
06/02/2013 05:39

Hi Subi, thank you for this update. You are doing a great job if I may be honest. keep the fire burning my sister. Josh Lila in Australia

Reply
06/02/2013 17:17

@Josh,
You are welcome.
Asante kwa kushukuru!

Reply
metty
06/02/2013 17:39

Subi, thank you. Thank you. Thank you. Yaani, nimepiga panga gharama ya kupiga simu Bongo for about 75% per minute na DialNow. Mungu akupe nini? Definitely si gunia la chawa, bali baraka tupu.

06/02/2013 18:17

ha ha ha haa @metty, nafurahi kuwa umefanikiwa kuokoa tujisenti twa kunywea juisi wikiendi. Asante kwa kushukuru (feedback).

Reply
12/02/2013 15:33

Your the best blogger i have never seen, wewe ni mwana mtandao wa kipekee kabisa sijawahi kuona mwingine. mm ni mdau mkubwa sana wa WAVUTI nimejifunza mengi sana kutoka kwako hakika umekuwa mfano wa kuigwa. mungu akujalie maisha marefu yenye afya mchango wako ni mkubwa sana katika jamii ya Watanzania na dunia kwa ujumla. Humphrey from China....

Reply

Your comment will be posted after it is approved.


Leave a Reply