WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
TAARIFA KWA UMMA
UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,amemteua Prof. CUTHBERT F. MHILU, Mhadhiri wa Chuo Kikuucha Dar Es Salaam kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania, TBSkuanzia tarehe 18 Februari, 2013.
Kufuatia uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi, Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Omary Kigoda (Mb), ameteua Wajumbekumi na moja wa Bodi hiyo. Wajumbe walioteuliwa na mahali wanapotoka ni kamaifuatavyo.
|
Imetolewa na Wizaraya Viwanda na Biashara
S.L.P 9503
DARES SALAAM.

RSS Feed
