Madereva valuvalu bado wanaishi

[ajali+lorry+treni.JPG]

Lori la kubeba mchanga likiwa nyang'a nyang'a baada ya kugongwa na treni ya mizigo katika eneo la Makulu mkoani Dodoma.

[ajali+lorry+treni+2.JPG]

Lori hilo lilikuwa linakatiza eneo la reli lisilo na kivuko.
Picha zimepigwa na Jube Tranquilino