Hotuba: Julius Kambarage Nyerere (pt 3/3) [updated]

Hotuba hii niliiposti mwaka jana, hivi leo nairudia ikiwa ni katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu, Baba wa Taifa, hayati Julius Kambarage Nyerere!

Sehemu hii ni ya tatu na ya mwisho katika mfululizo wa hotuba ya Marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoitoa katika hoteli ya Kilimanjaro (sasa Kempinski) siku ya Jumanne, tarehe ya kumi na nne ya mwezi wa Machi mwaka moja elfu, tisa mia, tisini na tano.
Kwa marejeo ya sehemu ya kwanza bofya hapa na kwa sehemu ya pili bofya hapa.

Mwalimu alisema:


(pleya inachukua muda kusikika kulinganana kasi ya intaneti unayotumia.Ikiwa husikii kwenye pleya moja, jaribu nyingine)