[audio] Jamii Production: Mjadala kuhusu bajeti katika familia

Bw. Solomon, Sunday Shomari na Herriet Shangirai wakijadili jambo ndani ya studio za Jamii Production, Washington DC, Marekani.
Bw. Solomon, Sunday Shomari na Herriet Shangirai wakijadili jambo katika studio za Jamii Production, Washington DC, Marekani.
Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production ambapo katika kipindi hiki, tumejadili suala la bajeti katika familia, umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengineyo. Wachangiaji studioni walikuwa 
ni Herriet Shangirai, Sunday Shomari, Solomon na Mubelwa Bandio.

Karibu uungane nasi kwa kusikiliza audio iliyopachikwa hapo chini