RAFIKI ELIMU MUSIC & FILM ACADEMY
- Je wewe ni kijana wa kitanzania?
- Una umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea ?
- Una ndoto za kuwa muigizaji filamu mkubwa nchini Tanzania?
- Una ndoto za kuwa mwanamuziki ama muimbaji mkubwa hapa Tanzania ?
nyimbo mbalimbali zinazo tayarishwa na Taasisi ya RAFIKIELIMU FOUNDATION.